Majina ya Wahuni

Wananita waiti wengne tolu japo ckubaliani nao najijuq mi sio muhuni ila nina muonekano huo
 
mudi, cheupe, cheusi, rama, ommy, mshua, arosto. Papaa, mzushi, side mnyamwezi
 
Duchu
Yosso
Bwilu
Makaveli
Buda
Bob lao
Dizzo
D wa ghetto
Jedda

Haya majina kila nikihama kitaa lazima nilikute moja wapo.
 
"Askari wangu " hili jina Kwa sasa ni la kulitizama Kwa umakini zaidi.Raia hawachelewi kukuunganisha na yule askari wa Wala urojo 😂😂😂
 
Waiti, Msodoki hujakosea mule mule yani 🤣😂
 
1, 7, 8 & 9 hahaha ni best zangu sana

MasterMind ndo balaa kabsaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…