Wanandugu majibu ya vijana waliofanya usaili wa uhamiaji tarehe 10 lini
subiri tu maana wakaguzi wanaenda depo alhamis hii.
angalia moha.go.tz tayarinadhani muda wowote kuanzia leo majibu yatatoka muwe na subra kwani baada yakutoka inawezekana mkaondoka pamoja na wakaguzi wasairdizi ktk shule ya polisi Moshi....Ukiona kmya jua neema inakarbia