Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,746
- 25,639
Jibu sahihi ni jwamba ukiwa Iringa huwez kuuona mt Kilimanjaro kwa sababu wapimaji hawakuupima kutoka kwenye Base but kutoka kwenye usawa wa bahari. Hivyo kama utaenda kuupima mt Kilimanjaro kutoka kwenye Base unaeza uona ni mfupi kuliko hata Uluguru