Majibu ya Kigwangalla: Kwa Nini Sikusaini Hoja ya Mhe. Zitto Zuberi Kabwe (MB)!

....Kawadanganye wasiokujua! tunaokufahamu tunajua wewe ni njaa kali!! huwezi kusimama na "wanaume" kutetea hoja bila kufikiria tumbo lako.
 
Huyu Kigwangwallah ni mpumbavu kama walivyo Wapumbavu wengine, huyo anajuwa kwamba ni mbunge wa kamati kuu ya CCM, mwenye jimbo lake mwenyewe ni Hussein Bashe, kwahiyo sishangai kuja hapa na thread za kichangudoa.

Na nina hakika thread amemtag Nape Nnauye, Wilson Mkama pamoja na Mkwerre. kwa msiyomjuwa huyu Fisadi wa elimu, ni kwamba huyu alikuwa kwenye ile taasisi ya kitapeli WAMA.
Hakuna alichonishangaza mimi huyu Kilaza kwa hii thread yake ya kipuuzi.
 
muheshimiwa kigwangala utetezi wako ni sawa na majibu ya wazir wa afya na katibu mkuu wake mama nyoni wakati mko kwenye mgomo wa madactari, majibu yako ni mepec sana na hayana nguvu kabsa,
Najua moyono kiukweli upo ma1 na zito, lakini kwa kuwa unataka kulinda ki2mbua chako kicingie mchanga ndo mana unafanya hivo, nikutoe 2 wacwac kwamba ucogope . kwenye kura za maoni utapita tu km kweli utakuwa una uchungu na rasilimali za taifa hili na nina uhakika kuwa kwa sasa hawatapindua matokeo km mlivyompindua L.Serelii
 
Mtu mzima hovyo!!? kwa hiyo hata kama nchi inatafunwa kiasi hiki, wewe kazi yako ni kuilinda ccm yako?. hufai hata kuwa kiongozi wa familia!
 
Uchangiaji huu "vernomous" hata kama tumechoshwa, hauleti tija kwenye mijadala. Nasikitika na ninachokisoma kwenye hii thread, kinawanyima watu haki ya kutoa hoja ambazo zinaweza kumrekebisha mtu. Matusi, kejeli, n.k. havitamfanya mtu yeyote achukue misimamo tunayotaka aichukue. We must argue and not shout, insult, degrade, look down, etc.

Jamani tujifunze uungwana!
 
Hivi jamaa dokta alishinda au alishindishwa?? Angeandika kwa Kiingereza ngesema msomi lugha inamburuta!

Nataka tu kukukumbusha hata Nyerere (RIP), aliye-engineer hicho chama chako aliishakusaidia kufikiri- kwamba CCM c mama yako. Sasa we unajifanya kuwa na machungu zaidi ya uyu mzee aliyeishi kiitikadi, mkosa unafiki wa kweli, moyoni na kivitendo? Who do u think u r than him? Usijifanye unajua zaidi nin kilianza kati ya yai na kuku daktari (MD, MPH, MBA)! N try to get educated n not education!
 

Nilivyomuelewa majebere baadhi yetu hatujibu hoja au kuuliza swali kwenye hii thread ya jamaa ila tunaishia kumkashifu..
 
Last edited by a moderator:

HK nasikitika sana kwa uliyoyasema chini ya kivuli cha dini yangu tukufu, pia nakujibu kwa uthabiti kwa kuwa mimi ni mzalendo, siasa nimesoma darasani na wala si kwa kuambukizwa, nafahamu sana siasa ya chama chako kwani imenilea mimi na wazazi wangu, nafahamu upendeleo ulopata kuingia bungeni, lkn naomba nikujibu kwa kifupi sana na tena kwa uchungu wa rasilimali za nchi hii na hatma ya Tanzania ijayo,


Zitto hakuipinga CCM na ndiyo maana alikataa lawama asipewe Raisi kwani yeye akishateua majukumu yanahamia ktk usimamizi wa majukumu na kubebebwa na Waziri mkuu na waziri husika, kama angeipinga CCM basi angemghalifu rais, alichokisema ni mawaziri husika kuwajibika/shwa au plan B waziri mkuu kuachia ngazi, hili ni wazo la kizalendo na si kichama, sasa wewe unajibu kichama na si kizalendo, wewe unaonesha una miungu wawili CCM na Allah, na wewe ni mnafiki kwa kuwa upo tayari kuita nyeusi ranga nyeupe ili usimuudhi bwana mkubwa, ni mnafiki kwa kuwa CAG ameonesha kinadharia na kivitendo kuwa fedha zimeliwa lkn wewe unakata tena hadharani, lkn sikuhukumu kwa kuwa unaabudu siasa, unamakosa mengi siwezi kumaliza kusema, tunaelewa cc c watoto samahani
 
Need i say more... kaka umemaliza yote. so sad hao wasomi wetu wanapokuja na hoja zaifu zilizokosa mashiko. sitaki kuamini kama ndio aina ya viongozi wetu hao. na hapo utashangaa anajiita yeye PATRIOT.

regards

NB: jamani vilaza wote wa aina hii mkiwa mnakuja na hoja zenu dhaifu. muwe naandika kwa lugha za kwenu ili watu wa mataifa mengine wasielewe walau tufiche aibu hii.

fredwash
 
Nilivyomuelewa majebere baadhi yetu hatujibu hoja au kuuliza swali kwenye hii thread ya jamaa ila tunaishia kumkashifu..
Unajua kuna watu humu sijui ndio wanaona ni sifa kutukana wabunge? Mtu kajitokeza badala ya kutumia nafasi yao ya kumkaanga kwa maswali wao wanarukia kutoa matusi, ndio maana viongozi wetu wanatuona kama makondoo wa kupewa majibu mepesi mepesi.
 
hongera kwa kua msomi MD, MPH MBA duh si mchezo...ila ulivyoandika hapo nilidhani hujaenda shule mpaka nilivyoona hapo chini qualifications zako...haya mzee kaa mkao wa kula utapewa uwaziri na wewe very soon sa sijui utaanza kujenga/kununua nyumba kwanza au utaanzisha kampuni hewa kila la kheri...
 
Tatu, msisahau kitu kimoja cha muhimu kabisa. Kwamba, mimi ni Mbunge kutokea CCM na kama walivyo wengi wenzangu hatukusaini safi mkuu, bila shaka unakusudia kutuambia CCM IS A BIG PROBLEM mh mkuu wa chama nae aliwahi kuhofia wabunge wa ccm kwenye issue muhim ya muswada wa katiba. sasa tukisema 2015 tuiondoe ili nchi yetu iwe sawa, utaacha unafiki na kuungana na wengi?
 
Mkuu kila nikisoma hii comment yako nacheka sina mbavu!
Uyu kijana kweli ana masihara!hahahaahah

Mkuu LR
Huyu mtu anatuchezea kabisa na tusipo kuwa wakali kwa uzembe kama huu nchi yetu itaangamia..

He's not serious at all..

Maisha ya watanzania yeye anafanya 'Political goose chase' na anakiri kabisa kwa arrogance ya madaraka na immunity which is actually absolute impunity aliyopewa na wananchi!! Leo sijui ni wananchi wangapi ambao wanaishi below poverty line tokana either na uzembe au ufisadi unaofanyika Serilkalini, halafu analeta maskhara hapa!!

Huyu hafai kabisa kuwa kiongozi!!
 
 
Na wewe ni wale wale tu akili ziko likizo au either umezifungia kabatini, sasa hapa ndio umechangia nini katika topic husika?

Ndio nakusikia wewe leo eti kwamba keyboard nayo inashout!!:nono:
 
Mhe. sana Kigwangallah,

Baada ya Rais na Mwenyekiti wako Kiwete kwenda mbele ya CC na kuomba baraka za kuvunja Baraza la Mawaziri kwa HOJA YA CHADEMA kupitia Zitto Kabwe una hoja gani kutetea upu.pu wako???

Hii imedhihirisha UNAFIKI MKUBWA wa Wabunge wa CCM wewe ukiwa ni mmoja wao. Shame on you!!!
Napenda kukufahamisha tu kuwa pamoja na Udaktari wako IQ yako haifikii hata 0.25 ya Mhe. Zitto Kabwe. Wewe ni sawa na kihiyo yeyote ambaye hajaenda shule. Peace!
 
kigwangalla kati ya watu wanafki wewe ni no one.. yani unavyokana sio mnafki kama unasema sijaiba mbuzi nimeiba mtoto wa mbuzi. shame on you wewe ndio mp mwenye ndoto za kuigeuza nzega kama ulaya duuh..
 
kama mti ungekatwa, ungeanguka, ungetukuta chini ... ndio wasiwasi wa wabunge wa CCM. Tumeamua kukwea juu sijui mtapaa hewani!!
 

Haya sasa angalia,serikali usiotaka kuangushwa sasa hivii imeshaangushwa, sasa utaipeleka wapi sura yako. Bora usingeleta mada hii hapa. Ungepeleka tu Hulu Facebook
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…