Mwanakulipata
JF-Expert Member
- Jul 17, 2018
- 718
- 1,202
Habari zenu wakubwa.
Nakumbuka 2013 niliapply clinical medicine, nikapata MTU wa mwisho alikuwa na 2 ya 18... Wakati mwingine kufikia vigezo sio lazima uchaguliwe wanaangalia na ushindani......[/QUOTE
sawa mkuu... sasa hapo kwenye chemistry pananipa shaka hapo
Chuo gn mkuuNakumbuka 2013 niliapply clinical medicine, nikapata MTU wa mwisho alikuwa na 2 ya 18... Wakati mwingine kufikia vigezo sio lazima uchaguliwe wanaangalia na ushindani......
sawaaHapo huwezi pata nafasi kwa ufaulu wako.. tafta vyuo vingne mapema, kama ulichagua kibaha kama first choice fanya kuedit mapema hicho chuo kiwe hata fourth choice huko...