comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 6,447
- 11,504
Yani maji safi tuu na umeme bado ni unga unga mwana unaeza ukadhani nchi imetoka kwa wakoloni mwaka jana kumbe ni miaka karibia 60 iliopita.
Itahitaji miaka mingine 60 ili maji safi na salama na umeme iwe huduma ya uhakika chini ya ccm.
Unajua hata sisi UVCCM tunachoka kuwatetea nyie maboss zetu, japokua mnatupa buku7 kwa siku tunakidhi mahitaji lakini kuna mambo yanaudhi ukifikiria kwa akili timamu bila uchawa.
Hapa dar tuu watu wanakunywa maji ya visima vya kuchimba na jembe, yani maji ambayo ulaya na marekani hata ng'ombe hawapewi lakini bongo hapa raia ndio wanayafakamia.
Itahitaji miaka mingine 60 ili maji safi na salama na umeme iwe huduma ya uhakika chini ya ccm.
Unajua hata sisi UVCCM tunachoka kuwatetea nyie maboss zetu, japokua mnatupa buku7 kwa siku tunakidhi mahitaji lakini kuna mambo yanaudhi ukifikiria kwa akili timamu bila uchawa.
Hapa dar tuu watu wanakunywa maji ya visima vya kuchimba na jembe, yani maji ambayo ulaya na marekani hata ng'ombe hawapewi lakini bongo hapa raia ndio wanayafakamia.