KERO Majestic Bar ni kero kubwa kwa kelele usiku kucha, inatutesa Wakazi wa Tanga Mjini, Mtaa wa Makoko

KERO Majestic Bar ni kero kubwa kwa kelele usiku kucha, inatutesa Wakazi wa Tanga Mjini, Mtaa wa Makoko

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Anonymous

Senior Member
Joined
Apr 6, 2006
Posts
127
Reaction score
353

Habari Madam President, sisi ni Wakazi wa Tanga Mjini, Barabara ya 05 Ngamiani, Mtaa wa Makoko tatizo letu kubwa ni hiyo Majestic Bar ilikuwa ni mali ya CCM lakini imekodishwa na Joseph inasikitisha na ni kero kubwa ina fujo sana hadi Usiku wa manane.

Naomba msaada kwenu tuna recordings zote za siku mbalimbali za watu kulewa hadi saa Tisa usiku na kufanya fujo mtaa Mzima Leo hii unapata tabu kila tunapoenda mliki anatoa rushwa na hatusikilizwi.

Tunaomba sana sisi ni wapiga kura wako mama tusaidie.

Asante
 
Poleni
FB_IMG_1756844823396.jpg
 
Dahhhh....
Umenimumbusha mbali mkuu, hapo nilipatana na jishangaz moja la kuTanga likanipa style ile mnaita "ngoma baikoko😋" akamalizia na "usintangaze😊" baada ya pale mzee nilijikuta najifunga kaniki siku tatu mfulizo yaani bandika'bandua, mwisho akanipaka asali mwili mzima wacha anilambe hadi asali ikanikwisha mwilini.....🤗
Ila Tanga raha mazeeee😜
 
Nadhani wahusika wataliona hili na watalifuatilia🙏
 
Dahhhh....
Umenimumbusha mbali mkuu, hapo nilipatana na jishangaz moja la kuTanga likanipa style ile mnaita "ngoma baikoko😋" akamalizia na "usintangaze😊" baada ya pale mzee nilijikuta najifunga kaniki siku tatu mfulizo yaani bandika'bandua, mwisho akanipaka asali mwili mzima wacha anilambe hadi asali ikanikwisha mwilini.....🤗
Ila Tanga raha mazeeee😜
mzee ume sahau kumtaja jina lake 😂
 

Habari madam president, Sisi ni Wakazi wa Tanga Mjini barabara ya 05 Ngamiani, Mtaa wa Makoko tatizo letu kubwa ni hiyo Majestic Bar ilikuwa ni Mali ya CCM lakini imekodishwa na Joseph inasikitisha na ni kero kubwa ina fujo sana hadi Usiku wa manane.

Naomba msaada kwenu tuna recordings zote za siku mbalimbali za watu kulewa hadi saa Tisa usiku na kufanya fujo mtaa Mzima Leo hii unapata tabu kila tunapoenda mliki anatoa rushwa na hatusikilizwi

Tunaomba sana sisi ni wapiga kura wako mama tusaidie

Asante
Kelele za walokole na adhana za waislamu tukilalamika mnaona tunawaonea wivu si ndio?
 

Habari madam president, Sisi ni Wakazi wa Tanga Mjini barabara ya 05 Ngamiani, Mtaa wa Makoko tatizo letu kubwa ni hiyo Majestic Bar ilikuwa ni Mali ya CCM lakini imekodishwa na Joseph inasikitisha na ni kero kubwa ina fujo sana hadi Usiku wa manane.

Naomba msaada kwenu tuna recordings zote za siku mbalimbali za watu kulewa hadi saa Tisa usiku na kufanya fujo mtaa Mzima Leo hii unapata tabu kila tunapoenda mliki anatoa rushwa na hatusikilizwi

Tunaomba sana sisi ni wapiga kura wako mama tusaidie

Asante
Hiyo clip umeweka sijasikia kelele za muziki, bali kelele kama za walevi'flani!

Halafu sijui ndiyo kumpromote Rais ama nini, issue ndogo kama hii mpaka mweshimiwa atajwe, hauwezi kutumia minyororo ya kiuongozi kusalve problems?!
 
Hahaha unawashitaki walipa kodi halafu unategemea wazuiwe, kodi utalipa wewe?

Utaambiwa uhame wewe utaweza?
 
Back
Top Bottom