Majanga haya tusaidiane wakuu

Majanga haya tusaidiane wakuu

umukagame

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2014
Posts
1,044
Reaction score
675
Eid mubaraka wakuu,
Leo kidogo tushauriane yamenifika kwa kweli,
Ni hv nina mdg wangu kamaloza form four na kafaulu vizuri tu Dv 1 kapagwa na shule lakini bado hajareport

Yameenda wee nimegundua mdgo wangu mjamzito hatuna cha kufanya na shule hataki kasema
Nimemshauri aemde shule hataki kabsa tushaita vikao hadi basi
Wajubwa nipeni ushauri ukikutana na jambo kama hili unasolv vipi
Mwenye mzigo ni kasharo tu hakajui hata maisha hakana future yoyote
Msaada wakuu
 
Kama hataki school na kaamua azae.maana yake kakua.unaonaje ukimtimua home hapo akayajue maisha.

Wakati mwingine tunavurugwa na ndugu sababu tunababaika kutoa maamuzi sahihi kwa wakati sahihi.
 
Hivi matokeo bado yanapangwa kwa dvs!!!
 
Mvumilie mwakani akijifungua mpeleke shule binafsi .
Anakataa shule Sasa hivi kwa sababu anakula bure maisha hayafahamu .
 
Huyo dawa yake ndogo..

Usihangaike nae, akiamka we mwangalie tu hata usijisumbue kumuuliza umeamuaje. Salimianeni haf unyuti. No kuuliza mambo ya shule, ni kama vile hujawahi jufaham chochote, yaan unamtorture kisaikolojia kuwa maamuzi yake si sahihi unless aapologize..
 
Mimba ya ukubwa gani ...? Je bwana mtia Mimba amejitokeza? Wewe ndie unae muhudumia peke yako..?
 
Back
Top Bottom