eti eeeh??? hata mie nahisi hivyo...,hama couple ambazo ziko mbali from eah other wanaofanya huu mchezo wajemeni?:twitch:
Duh mdogo wangu nakushauri usitoe top yako kabisa usijejikuta kwenye mitandao mingine bora angekuwa ni mpenzi wako mmeanzana tangu siku nyingi then akasafiri hapo unaweza fanya hivyo. Hujamjua kihivyo usimwamini sana.
vipi mgomo
Wa kuvuliana nguo kuonyeshana maTT wakati hata hamjaonana??? Labda kama mna mpango wa kingono zaidi
Mtu hata hujamuona live then umuonyeshe nyonyo ktk camera?? Aaaah hii kali
Mahusiano ya mbali yapo lakini sio kihivyo
Duh mdogo wangu nakushauri usitoe top yako kabisa usijejikuta kwenye mitandao mingine bora angekuwa ni mpenzi wako mmeanzana tangu siku nyingi then akasafiri hapo unaweza fanya hivyo. Hujamjua kihivyo usimwamini sana.
vipi mgomo
mie nimeamua kumpotezea,ila ninampenda i dont want to loose him we have a lot of chemistry between us! hapo kwenye bold ingekuwa tumeoana ingekuwa tofauti???? mie sijui naonaje? hata ningeolewa naye bado sidhani kama ningekuwa tayari kuvua mbele ya screen yake....:coffee:
hivi naomba kwa mnaotumia skype mniambie kwa mfano mtu anaweza kukurecord au akachukua pictures?
Michelle kwa hio kama ungekuwa unamfahamu lets say mumeo,ungefanya hivyo?? hapo kwenye bold usiseme kwa nguvu watu wakasikia lol :laugh::laugh:
Hapo nyekundu Pauline,ningefanya hivyo........jamani mume tena......:laugh::laugh:
...........you seem to be very considerate and understanding!!
...........you seem to be very considerate and understanding!!