Majambazi yawatoa lunch polisi rombo

Majambazi yawatoa lunch polisi rombo

Joined
Jan 2, 2013
Posts
16
Reaction score
3
Ukistaajabu ya musa siku zote utaona ya firauni hii ndio hali halisi ilivyojitokeza katika wilaya ya rombo mara baada ya kamishna wa jeshi la polisi kutoka makao makuu alipofanya ziara wilayani humo…
hali halisi
baada ya kufanya kazi mbali mbali zilizomleta occid wa wilaya bwana majebere alihamua kumpelerka mgeni wake huyo (isaya mugulu)kwa wadau mbali mbali huku wadau hao wakiwa sio watu waadilifu kwa maana nyingine ni majambazi na wafanyabiashara haramu pamoja na magendo
wananchi walishangazwa na kitendo hicho cha kumuona mhalifu akiwa anaongozana na kiongozi mkubwa na kwenda kununuliwa chakula cha mchana ambacho kiliandliwa katika hoteli moja kule rongai na majambazi hayo.
Kutokana tukio hilo ambalo kamshna msaidizi wa jeshi la polisi alijua au kutokujua kuwa ameingizwa mkenge kwa kuandaliwa chakula na majambazi kimetangaza neema kwa majambazi hao kuonekana kama miungu watu katika wilaya ya rombo kuwa wao ni namba nyingine na wasichezewe.
Baadhi ya viongozi na wanachi katika wilaya ya rombo wamellamikia kitendo hicho kilichofanywa na occid kuwa sio cha kiungwana kudhalilisha jeshi la polisi kwa kuwa anawafahau watu wote na hivyo ni kudhalilisha jeshi la polisi mbele ya jamii
vitendo vya uhalifu vinaonekana kukithiri kwa kiasi kikubwa ikiwa ni pamoja na unyang’anyi wa mali zawatu mf mbao,pikipiki nk pia ubakaji umeshamiri na huku wabakaji wakilindwa na jeshi la polisi katika ngazi ya wilaya.
Jeshi la polisi litume makachero kuchunguza tuhuma hizo zote zina ukweli…..kazi kwenu
 
kweli kabisa moshi kumekithiri ujambazi sana hasa vijijini... pia naona polisi wenyewe ndio wezi wakubwa hasa polisi wa pale himo
 
Polisi wa Tanzania mbona hawana aibu, hapa nipo kwenye basi na kila kituo wanapokea rushwa hadi ya MIKATE & MANANASI.
 
Hapo rombo mbona kawaida yao hao polisi si ajabu sana hapo

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Polisi wa Tanzania kwa chips mayai bwana.. wanapenda sana.
Ukimuongezea na mishikaki miwili basi anaweza kukuazima hata bunduki ukawindie kuku.
Ukimpa ofa ya kitimoto, anakupa gari la ----- ukateseee.
Ndio maana mivitambi inawatoka kila kukicha.
 
Aaah rombo kuanzia rongai tarakea usseri mashati mkuu mamsera na himo ni aibu tupu na huyo occid yaani majebere tena anajenga bonge la nyumba kwao bariadi kama vile white house je ni hii kazi ya polisi ambyo wana miezi mitatu hawajalipwa?

Huko rombo ukimpeleka mtuhumiwa polisi ni mtaji wa occid kwani yeye pesa ndio kila kitu kwake mambo yamekwisha awe anampeleka mtuhumiwa au awe anamdhamini ni pesa tu nda ndio maana hapo aliweza kumpeleka huyo kamishna msaidizi wa jeshi la polisi kulishwa na majambazi kwa kuwa marafiki zake wakubwa ndio hao kwani wanampa kula ya kila siku.
 
Back
Top Bottom