Majambazi yachomwa moto tabata

Majambazi yachomwa moto tabata

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
Watu watatu wanaosadikiwa kuwa majambazi wameuawa kwa kupigwa na kuchomwa moto na wananchi wenye hasira kali baada ya kudaiwa kuvamia duka la bidhaa mbalimbali eneo la Tabata Matumbi jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuiba.

Inadaiwa kwamba baada ya kumjeruhi muuza duka na kushindwa kutumia bastola waliyokuwa nayo majambazi hao wamejikuta wakikamatwa na kuadhibiwa na wananchi hao.

ITV ikiwa katika eneo la tukio imeshuhudia majambazi hao wakipigwa na kuchomwa moto kabla ya polisi kufika na kuchukua miili ya majambazi hao na kuipekela katika hospitali ya taifa ya Muhimbili ikiwa imekwishaungua vibaya.
 
Watu watatu wanaosadikiwa kuwa majambazi wameuawa kwa kupigwa na kuchomwa moto na wananchi wenye hasira kali baada ya kudaiwa kuvamia duka la bidhaa mbalimbali eneo la Tabata Matumbi jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuiba.

Inadaiwa kwamba baada ya kumjeruhi muuza duka na kushindwa kutumia bastola waliyokuwa nayo majambazi hao wamejikuta wakikamatwa na kuadhibiwa na wananchi hao.

ITV ikiwa katika eneo la tukio imeshuhudia majambazi hao wakipigwa na kuchomwa moto kabla ya polisi kufika na kuchukua miili ya majambazi hao na kuipekela katika hospitali ya taifa ya Muhimbili ikiwa imekwishaungua vibaya.

Safi sana,mambo ya kifungo miaka mitatu au faini Tsh 200,000/ tumechoka
 
Mahakimu wetu wanao waachia au kuwapiga faini ndogo majambazi leo wana msiba. nafikiri mahakimu wanajua kuwa majambazi hawawezi ku wa target
 
Watu watatu wanaosadikiwa kuwa majambazi wameuawa kwa kupigwa na kuchomwa moto na wananchi wenye hasira kali baada ya kudaiwa kuvamia duka la bidhaa mbalimbali eneo la Tabata Matumbi jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuiba.

Wanadhaniwaje wakati wamevamia duka kwa nia ya kuiba mali?!
 
Safi sana,mambo ya kifungo miaka mitatu au faini Tsh 200,000/ tumechoka


under islamic laws these people were not supposed to die ....! just a lil cut mkono wa kushoto would have been a lesson to them ....!

lakini wapo mijitu inasema sharia za kiislam katili and yet they are killing people kwa kuwachoma na moto ....



 
Wanadhaniwaje wakati wamevamia duka kwa nia ya kuiba mali?!

Hizo zinaitwa nakshi za kiswahili cha kibongo, ukweli ni kwamba wamevamia ili kuiba maana wamekutwa na bastola.
 
hakuna namna nyingune, tumechoka,..
 
Ifikie mahala wasichomwe moto, wakatwe mikono hata na mguu mmoja na kuachwa ili waonekane kwa wenzao na yamkini waweza kuonekana somo kwa maswahiba
 
Back
Top Bottom