singidadodoma
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,394
- 1,536

Huu ndio uongozi tuliokuwa tukiuhitaji watanzania, viongozi wazalendo sio wapiga dili za richimond
Hivi katika utawala bora, huyu datari alitendewa haki? nauliza tu.Kwanza daktari lazima arudishe pesa alizomnunulisha dawa huyu mama. Hivi mama kauza shamba kwa shilingi ngapi? tunataka kuchanga pesa arudishiwe aliyenunua shamba ili liweze kurudi kwa mzee.
ametendewa haki kwani hajafukuzwa ila amesimamishwa huku police na takukuru keshakuwa mteja wao nayeye aonje utamu wa kudaiwa rushwa.Hivi katika utawala bora, huyu datari alitendewa haki? nauliza tu.
ametendewa haki kwani hajafukuzwa ila amesimamishwa huku police na takukuru keshakuwa mteja wao nayeye aonje utamu wa kudaiwa rushwa.
UlitakajeHivi katika utawala bora, huyu datari alitendewa haki? nauliza tu.