Anaonekana anajua mbele ya wasiojua kwa hiyo wafuasi wake wengi hawajitambui wanashangilia.,Mimi ni form2 failure ila MTU akiongea broken English najua.
Mh Rais mstaafu Mkapa yuko vizuri sana tena Sana.
Km we sio 0 brain reply in English tuone.
Sent using
Jamii Forums mobile app