Domy
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 4,700
- 1,086
Salaam wanabodi
Mbunge wa Singida na mwanasiasa machachari Katika siasa za Tanzania ndugu Tundu Lissu ameendelea kuwasakama majaji wa Tanzania kwa kusema hawajui kiingereza.
Akichangia leo bungeni amesema ukisoma hukumu nyingi za majaji wa Tanzania utasikitika 'watu wanahukumiwa vifungo vya maisha na kunyongwa kwa sababu majaji hawajui kiingereza ambayo ndiyo lugha inayotumiwa kwenye sheria za Tanzania,hivyo ameshauri sheria zote ziandikwe kiswahili.
Mbunge wa Singida na mwanasiasa machachari Katika siasa za Tanzania ndugu Tundu Lissu ameendelea kuwasakama majaji wa Tanzania kwa kusema hawajui kiingereza.
Akichangia leo bungeni amesema ukisoma hukumu nyingi za majaji wa Tanzania utasikitika 'watu wanahukumiwa vifungo vya maisha na kunyongwa kwa sababu majaji hawajui kiingereza ambayo ndiyo lugha inayotumiwa kwenye sheria za Tanzania,hivyo ameshauri sheria zote ziandikwe kiswahili.