Ila watanzania wengi ni wanafiki sana.Mtu kuambiwa ukweli ndo unaleta thread hapa?
Halafu kumbuka hawa ni binadamu,huenda ukweli wao ukawa msaada kwa watu maana kwa mtu anayeamini ana kipaji atajaribu kuwa prove wrong na kwa kufanya hivyo ataenda mbali zaidi.
Kwa hiyo kama wanahitaji mshindi mmoja unataka wasemeje?
Wengine ni shindano tunslolipenda sana,na nahisi ninyi mnaoandika humu ni wale mashabiki ya wasafi ambao mnamponda Harmonize kujitoa huko.
Acheni unafiki watanzania.Hayo ni mashindano,kama wewe huyapendi na una akili zaidi yao,anzisha yako na wewe ila si kwa kuiga wenzio.
Mmekaa kimajungu majungu tu kukosoa watu waliothubutu. Acheni kuwakatisha tamaa Sie washabiki tunafurahia sana shindano hilo.
Kwangu mimi sijaona shindano linalonisisimua kama bss na ile iliyokuwa tusker project fame.
Haya ya east Africa got talent ,sijui nini, kwangu mimi bado sijayapenda kama BSS
Hongera madam Ritha
kibaravumba, Kuna siku niliangalia moja ya audition zao kupitia youtube na kiukweli ilikuwa dissapointment.
Wanawakatisha tamaa watu kupita kiasi, kuna manzi mmoja mwanza aliambiwa anaimba fine ila hana manjonjo na look ya kistar hivyo akakosa nafasi SERIOUSLY!!!...