Majaji 6, mawakili 40 wametumia wiki nzima kugundua Uchaguzi wa Kenya haukuwa wa haki, Jecha nusu saa tu kafuta Uchaguzi

Seif alipopora madaraka ya tume na kujitangaza mshindi hilo hamkuliona? Mliona la Jecha tu? Kweli nyani haoni ...............
Kosa la Seif lina adhabu yake faini ya shs 500,000/= Je kosa la Jecha adhabu yake nini?!

Acheni kulinganisha aibu na uungwana!! Wakenya wameweka hoja mezani na mawakili wamepambana na kisha majaji wameamua, Jecha muhuni amejifungia na majeshi kisha anafuta uchaguzi !!

Cairo's
 
5d91f0b3a7a3337d37d05a8506ba690e.jpg

K ni K banaaa!
 
Wao ndio wamefuata Nyayo zetu kufuta Uchaguzi baada ya kasoro kujitokeza ( rejea ya Jecha na ZEC)
Kenya Wanayo Katiba, Tanzania Tunayo Kamusi !! then rejea tena jibu la JPM kwa paskali mayalla.
 
Huku kwetu nec inaongozwa na lumumba unategemea nini hpo zaidi ya kutangaza ushindi tu...angalia mswada wa madini ulikua na vifungu vingi ambavyo wabunge wangetumia muda wa majuma kadhaa kusoma.
Ila lumumba walitumia dakika kadhaa kuupitisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya Wanayo Katiba, Tanzania Tunayo Kamusi !! then rejea tena jibu la JPM kwa paskali mayalla.

hiyo hiyo Kamusi ndio Wapinzani walishiriki kwny Uchaguzi na kushinda Majimbo Bungeni na kuendelea na kula Posho Kama kawaida!

Waambie Wapinzani wenzako wawe na ujasiri wa kususia kabisa Uchaguzi na hata wakipewa Majimbo wasiende Bungeni ili kushinikiza, mnataka CCM iwasaidie Wapinzani kuipinga Serikal?

Kazi ya Wapinzani ni kuipinga Serikal sio kulia Ila

Mmeambiwa msifanye Mikutano mmeufyata

Mkipewa Ruhusa mnajisifu pia tuwaone Makamanda Kumbe ni utashi tu

Unadhan Kenya Rais angepiga Marufuku Mikutano ya Siasa Wapinzani wangetii kama Hawa wetu?

Hata Nyie Wapinzani mna cha kujifunza toka Kenya muwe strong sio laini laini msubiri spoon feeding
 
Kosa la Seif lina adhabu yake faini ya shs 500,000/= Je kosa la Jecha adhabu yake nini?!

Acheni kulinganisha aibu na uungwana!! Wakenya wameweka hoja mezani na mawakili wamepambana na kisha majaji wameamua, Jecha muhuni amejifungia na majeshi kisha anafuta uchaguzi !!

Cairo's
Mimi naona tume imetia hasara kusubiri kesi iende mahakamani wakati kasoro waliziona mapema,walitakiwa kufanya maamuzi kama ya Jecha hapo ninge wasifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hiyo hiyo Kamusi ndio Wapinzani walishiriki kwny Uchaguzi na kushinda Majimbo Bungeni na kuendelea na kula Posho Kama kawaida!

Waambie Wapinzani wenzako wawe na ujasiri wa kususia kabisa Uchaguzi na hata wakipewa Majimbo wasiende Bungeni ili kushinikiza, mnataka CCM iwasaidie Wapinzani kuipinga Serikal?

Kazi ya Wapinzani ni kuipinga Serikal sio kulia Ila

Mmeambiwa msifanye Mikutano mmeufyata

Mkipewa Ruhusa mnajisifu pia tuwaone Makamanda Kumbe ni utashi tu

Unadhan Kenya Rais angepiga Marufuku Mikutano ya Siasa Wapinzani wangetii kama Hawa wetu?

Hata Nyie Wapinzani mna cha kujifunza toka Kenya muwe strong sio laini laini msubiri spoon feeding
WatanZania wagoma kupiga kura , wataka serikali sikivu iendelee kuwepo madarakani
 
Kosa la Seif lina adhabu yake faini ya shs 500,000/= Je kosa la Jecha adhabu yake nini?!

Acheni kulinganisha aibu na uungwana!! Wakenya wameweka hoja mezani na mawakili wamepambana na kisha majaji wameamua, Jecha muhuni amejifungia na majeshi kisha anafuta uchaguzi !!

Cairo's
Jecha hakukosea alifuta uchaguzi kwa mujibu wa sheria seif na CUf wakasusa uchaguzi wa marudio Kama waliamimi walishinda si wangerudia sababu wangeshinda tena!
 
Mimi naona tume imetia hasara kusubiri kesi iende mahakamani wakati kasoro waliziona mapema,walitakiwa kufanya maamuzi kama ya Jecha hapo ninge wasifu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Jina la Jecha liandikwe kwa wino wa dhahabu Visiwani kwa kuwaepusha Zanzibar kurudi kwenye Mikono ya Sultan Barghash Seif

Jecha alizima Jaribio la Mapinduzi ya kupindua Mapinduzi Matukufu ya 1964
 
Mimi naona tume imetia hasara kusubiri kesi iende mahakamani wakati kasoro waliziona mapema,walitakiwa kufanya maamuzi kama ya Jecha hapo ninge wasifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka huwezi kuwa na akili na uungwana ukasifu kazi ya Jecha. IEBC hawakuona kosa labda kwa makusudi au vyovyote! Lakini kesi (hoja) ilipowekwa mezani ukweli ukawa wazi.
Je Tz tunajivunia nini inapotokea mgombea moja wa urais anaposhindwa kuridhika na zoezi zima?! (ref Lowassa 2015)

Cairo's
 
hayo maamuzi mnayoyasema hayangewezekana kabisa huko kenya..mfahamu kwamba upande mmoja ulisadiki kwamba wameshinda na ule mwingine hivyohivyo.sasa kusema tume ya uchaguzi ingelifutilia mbali matokeo hayo wakati muda walipewa wa kutosha ili kujiandaa ni jambo ambalo lingeibua maswali mengi kuliko majibu.ila kesi kuwasilishwa mahakamani na kujadiliwa mpaka wanatoa uamuzi ni jambo ambalo limeonyesha fairness kwa pande zote mbili.
kila nisikiapo au kuona jina JECHA mwili hunisisimka zaidi ya wazanzibari wanavyojisikia! Nina hakika ningekuwa mzanzibari ningekuwa ama "nimeshapotezwa au NINGESHAMPOTEZA mdudu mtu huyo.
 
Jaji hafanyi maamuzi ya kisheria kwa utashi wake. Bali hufanya maamuzi kutokana na hoja za pande mbili kupitia mawakili wao wanavyopingana kutokana na kesi iliyo mbele ya mahakama. Kenya ni moja ya nchi chache duniani ambayo imediriki japo kuonesha kwamba haki inatendeka. Wanasheria wa Kenya wamefanya kile kilichotakiwa kifanyike
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom