Maiti yaombewa ifufuke, yagoma


hamuwezi kujenga hoja bila kutukana imani za watu? mna jidharirisha sometime sio kila mtu anapenda kuona mnadharau uislamu/ukristo acheni upum.bavu.
 
Last edited by a moderator:
hamuwezi kujenga hoja bila kutukana imani za watu? mna jidharirisha sometime sio kila mtu anapenda kuona mnadharau uislamu/ukristo acheni upum.bavu.

Nadhani mp.umbavu ni yule ambae anaona wale wanao wakumbusha watu ibada ya MUNGU Mmoja na kuacha kuabudu masanamu ya wazungu! Wapum.bavu!

Na mtu akiwa na akili za ki machinga basi busara zake zote zinamalizikia kuzurura mitaani tu!
 
huyu ni tapeli kama matapeli wengine tu
 
Imani nyingine ni ujinga mtupu. Ngoja wachomwe moto na kabwetere ndio akili zitakomaa.
 
Nadhani mp.umbavu ni yule ambae anaona wale wanao wakumbusha watu ibada ya MUNGU Mmoja na kuacha kuabudu masanamu ya wazungu! Wapum.bavu!

Na mtu akiwa na akili za ki machinga basi busara zake zote zinamalizikia kuzurura mitaani tu!

We sio bure utakua una tatizo tu..
 
We sio bure utakua una tatizo tu..

Matatizo wanayo hao wanaotaka kufufua mauti kwa laki nane!

Na hao kondoo wengine eti wametoa hizo pesa kwa mchungwaji!

Teh teh teh!

Ugalatia kaaz kweli kweli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…