Maisha

Hapo ningekuwepo ningeinjoy zaid ya aliyelalia Tanform magodoro Dodoma,na 6×6 bed.
 
tuanze na mpiga picha alisaliti wenzao, akachepuka na kuwapiga picha. awali alilalia viatu, kando ya chupa ya maji.

haya sio maisha ya siku zote kama kichwa cha habari kinavyotaka kutuaminisha. hawa wamejikuta katika hali hii kutokana na msukumo wa ghafla: dharula ya ubovu/hitilafu ya chombo cha usafiri, msiba; ndio maana tunaona chupa ya maji na mabegi pembeni.
 
Ni sehemu ya Maisha halisi kabisa, kwa baadhi ya watu...

Kuna Mwenye Nyumba huku Uswahilini, amepeleka malalamiko kwa Mtendaji, kuwa amempangisha Chumba kijana mmoja kutoka Kigoma, na sasa amealika vijana wenzake watano, hivyo kufikia idadi ya watu sita....
 
sio maisha ya kila siku lkn bado ni maisha,hivyo dhana ya maisha bado iko palepale.. huenda sio hao wanaoishi hivyo lkn wapo wanaoishi hivyo,dhana ya maisha ni pana ukiipanua!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…