Maisha yangu ughaibuni

SEHEMU 4.
Basi wakati wife analeta mzigo Mimi mapambana mtaani lakini kichwani sijaridhika, naiwaza Safari ya mbele, wife anaenda anarudi huku mi nazichanga,
Siku moja nikamueleza nataka kwnda Sweden kutalii, ikawa poa, kwa South African passport holder ni Visa free kwa nchi nyingi za ulaya, nikajiandaa na tayar nilikuwa na mawasiliano na watoto wa temeke ambao wako Sweden nyundo kibao, Basi, mchizi nikakwea pipa, destination ya kwanza uhoranzi,.ile nashuka airport nahisi kizungu zungu, maana nilikula dag la kutosha ndani ya dege la KLM, airport ni kubwa balaa, ndege yangu inaondoka kwenda Sweden mi sijielewi nimelala.
Baada ya masaa 3 nastuka nafatilia ndege yangu ilishaondoka kitambo, nikawasiliana na agent wangu, nikapewa huduma ya chakula na mahitaji yote,Ila nililipia km Dola 50 tu wenzetu wanajali Sana biashara, kesho yake majura ya saa 6 mchana nikapanda pipa, mpk mjini Oslo..
 
ikawaje huko olso?
 
Ulaya unaweza safiri muda wowote, kumbuka Mimi Nina Visa free ktk Schengen countries zote, so kutoka Oslo kwenda Stockholm is just nose an mouth, Kuna treni za umeme haijawahi shuhudia nadhan
wakati ukiwadia nitatembelea huko kujionea.
ulienda olso na mkeo au ulikuwa peke yako? na vipi b'shara ulimwachia nani?
 
Visa Processing fee ya kuingia Canada tukutumie kwa Western Union?
 
Jitaidi kutenda muda wa kutosha uandikee kwa kilefuu brooo
 
Jitaidi kutenda muda wa kutosha uandikee kwa kilefuu brooo
Nakosa nafasi ya utulivu ili kumalizi story ingawa unahitaji muda na utulivu,ninapopumzika kidogo nadonoa,Sasa wengi wenu kejeli nyingi natamani kuacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…