Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 16,748
- 28,141
Muache amalizie alooh.eti kuvushwa hapo kwenye mamba Tsh 10, afu wakati wapo njiani wanakijiji wakastuka kwamba wao ni wageni wakaanza kuwahoji huku wanawakimbiza na viboko juu.
Aisee mkuu mamba mliwakalia au mliwabeba mkakimbia nao huku na nyie mmebebwa mnavushwa kwenye mamba?
Tuache kidogo hujatufanyia poa.
Mkuu kama hutojali naomba unitumie yote nitakusaidia kupangilia Visa,vizuri kabisa.Sehemu ya tatu,
Samahani atakae taka niendelee asome, Mimi nishasema sio mwandishi mzuri,
Ok,baada ya kupata permit ya ukaazi tulijitenga, mi nikaenda cape Town, Roby akabaki joburg, namshukuru Mungu malezi ya utotoni yalinisaidia kumudu maisha ya sauz, maana kuingia ktk ulevi wa madawa no kugusa tu,kwa maana yapo anywhere, anytime just yo cash..
Basi jamaa yangu Roby tunavoongea ni Teja Ila kwa Sasa anapata ahueni, baada ya kutoka gerezani,ambako alitumikia miaka 7.
Baada ya kuwa cape Town ki ukweli nilipata mwanamke wa umri wa mama yangu, lakn ni shida ndo zilipelekea kuingia ktk mahusiano, lakn sio poa kuoa mzee kisa njaa, ni jela huru uraiani,..
Basi nimekaa na mama huyo miaka 2 na tulipata mtoto wa kiume, wakati tuko na familia mke wangu alikuwa mfanyabiashara, akienda Sweden na kuleta vipuri mbalimbali vya kitambo na magari,Mimi nilikuwa msambazaji wa Oda ktk maofisi ya watu,,
Ilipofika mwaka 2008 tayr niliweza kupata vigezo vya kumiliki paspot ya sauzi, baada ya kupata hiyo pasi niliona tayr malengo yangu yanaenda kutimia, maana Mimi ndoto yangu haikuwa kuishi sauzi,Toka Niko mdogo nawaza Safari ya mtoni,..
Nitaendelea baadae,Ila wakatisha tamaa pungueni
OkIlikuwa miaka ya 97 wakati naingia kidato Cha kwanza ktk shule moja ya tech,iliitwa yombo. Maeneo ya vituka, nawakumbuka mwl wangu moja aliitwa mafwili, na lufumbo
Dah hapo nagusia kabla sijaachana na shule kuelekea ughaibuni, Safari yangu ya kwanza ilianzia dar kuelekea south, nilipewa Ada yangu ya shule wakati huo ilikuwa 116k kwa day km sikakosea, nilikaa na Ada wakati tayari wapo machizi wangu wakisoma bagamoyo tukisubiri mchongo wa Safari
Siku ya Safari tulitoka dar kwa express train ya Zambia tazara, wakati tukiwa na temporary paspot za karatasi,na poker money km TSH 80, huuuu mpk Zambia, tukaisaka boda ya Zimbabwe, huu kimbembe ni kuuvuka mto Limpopo, dah mamba wengi
Kuna wataalam wa kuvusha watu unalipia km TSH 10, kwa wakati huu, wakati tuko njiani, Mara Wana Kijiji wakastuka kwamba sisi ni wageni, wakaanza kutuhoji, tukashindwa kujibu wakaanza kutufukuza na viboko juu, huku wakisema chikara wale chikara wale, sijui walimaanisha nini
Basi, mwishowe walirudi tukasonga tukavushwa na wenyeji, Mara paap joburg hii hapa
Dah ki fupi ni jiji zuri Sana watoto wazuri, chakula Cha waziri anakula hata machinga, nyama ya kuku ndio Bei rahisi km dagaa bongo
Basi tukaingia mtaani na jamaa yangu aliitwa Roby mtoto wa Kota tazara, tulianza biashara ya matunda na pipi, ilikuwa inalipa, unavaa vizuri,unakula vizuri, inalipa Kodi ya nyumba, Mimi sio mzuri ktk kuelezea lakini nivumilie kama utapenda, ntaeleza hatua kwa hatua,mpaka Safari yangu ya Sweden na leo ni raia wa Canada, kuwa mvumilivu kidogo.
Stay tuned
Burudika tu mkuu Kama unapenda story za majuu Ila Kama hata ni ukweli ama ni uwongo utafaidika Nini ama utapungua Nini. Ama unaleta umakini ambao unatakiwa hi uweke kwenye maisha yako Bali kuchambua storyEbwana eeeeh! Form one ulikuwa n umri gani? Au ndio kama mm tu vile nilikiwa na miaka 13
Ulitumia mda gani safarini mpaka sauzi? Kwamba ulifika ukapata jimama ukiwa kati ya miaka 13-16
Duh! Hii chai mimi nitaugua kisukari buree umekoleza sana sukari mkanada
Niburudike na nini mkuu hii haipaswi kuwa kama hadithi hii ni story inatakiwa iwe ya kwel isiwe na chembe chembe za uongoBurudika tu mkuu Kama unapenda story za majuu Ila Kama hata ni ukweli ama ni uwongo utafaidika Nini ama utapungua Nini. Ama unaleta umakini ambao unatakiwa hi uweke kwenye maisha yako Bali kuchambua story
Ebwana eeeeh! Form one ulikuwa n umri gani? Au ndio kama mm tu vile nilikiwa na miaka 13
Ulitumia mda gani safarini mpaka sauzi? Kwamba ulifika ukapata jimama ukiwa kati ya miaka 13-16
Duh! Hii chai mimi nitaugua kisukari buree umekoleza sana sukari mkanada
I wanted to give the way to my destiny unfortunately, u think that is just kidding,let me end up here, cause is kind of time wastage, nope my friend, insist proactivity on your doingWewe jamaa utakuwa na akaunti zaidi ya moja unazitumia kujibizana
Haiwezekani story ya uongo watu wanashadadia umesema ulitoka Kibaha na tren ya Tazara ukashiwa wapi!? Huo mto uliukuta wapi?
Kama ulipita njia za panya (huko ulikokutana na mto) kibari cha mda hicho unachosema cha karatasi kilikusaidia nini?
Harafu pia hicho kibari ulikipata wapi? Kuna maswali mengi sana aiseee
Niburudike na nini mkuu hii haipaswi kuwa kama hadithi hii ni story
Hivi konda msafi ndo yule wa Khumbu. Mjuaji wa story za Sauzi
Jikaze umalizeI wanted to give the way to my destiny unfortunately, u think that is just kidding,let me end up here, cause is kind of time wastage, nope my friend, insist proactivity on your doing
Yan ingekuwa n stori yangu mie nawapa za uso kavukavu hao wajinga huku naendelea kutoa stori mtanzania n mvivu mjinga ndugu yake kulalamika.I wanted to give the way to my destiny unfortunately, u think that is just kidding,let me end up here, cause is kind of time wastage, nope my friend, insist proactivity on your doing