Boss Man
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 458
- 991
Mimi kutokukujua ndio hadhi uliyokuwa nayo kwangu na wewe kutokunijua ndio hadhi niliyokuwa nayo kwako lakini hii hai apply hapa Jamii Forum
Hivi ikitokea siku humu kila mtu akajua kwa undani maisha ya mwenzake itakuwaje, Yani kwa mfano mm mkanijua kuanzia kazi ninayofanya hadi familia yangu na ukoo wote sijui maisha yangekuaje maana hivi tu hatujuani lakni mtu anakuchambua nje ndani, haya ukijakujua ninapolala? Kuna watu wangekuwa hawa comment chochote humu ndani
Ukishamjua mtu unamzoea na ukimzoea hadhi ipotea lakini Jf ni vise versa hatujuani lakini kama vile tunajuana na bado tumezoeana na kama una hadhi basi anza kuiacha mtaani kwako ukiingia humu ukijikologa tu utaambiwa unakaa kwa shemeji yako kumbe ukute Kijiji kinakutegemea huko bila ww siku haiendi
Hivi ikitokea siku humu kila mtu akajua kwa undani maisha ya mwenzake itakuwaje, Yani kwa mfano mm mkanijua kuanzia kazi ninayofanya hadi familia yangu na ukoo wote sijui maisha yangekuaje maana hivi tu hatujuani lakni mtu anakuchambua nje ndani, haya ukijakujua ninapolala? Kuna watu wangekuwa hawa comment chochote humu ndani
Ukishamjua mtu unamzoea na ukimzoea hadhi ipotea lakini Jf ni vise versa hatujuani lakini kama vile tunajuana na bado tumezoeana na kama una hadhi basi anza kuiacha mtaani kwako ukiingia humu ukijikologa tu utaambiwa unakaa kwa shemeji yako kumbe ukute Kijiji kinakutegemea huko bila ww siku haiendi