Hahahahahaha! Wasomo hao tunaotegemea waje kuilimisha jamii ya Kitanzania!!!! Tunasafari ndefu sana kwa kweli.
Ha ha ha yalikukuta bwana weee..... Basi sisi mwaka wetu ndo tuliokuwa wa kwanza kupangiwa mabibo hostel mwaka 2001. Mi nikatupwa mabibo na marafiki zangu wakabaki main campus. Lakini nikawa bado natokea home (mbezi beach) naenda chuo kwa karibu kama miezi miwili hivi basi ndo maclass mate zangu wa mabibo wakawa wanaeleza mambo ya mabibo yalivyokuwa hot hot na mabinti kama kina kitimoto na wengine kama mtakumbuka. Basi mi nikaona nikienda mabibo basi nitachakachua uadilifu wangu, so nikaswitch na jamaa mmoja mshamba mshamba akaenda mabibo na kunipisha campus. Basi tangu mwaka huo hadi 2005 sikuwahi kukosa accomodation main campus.
Pia nakumbuka cc ndo tuliokuwa wa kwanza kufanya matriculation exams ili kujoin chuo.... Challenges zilikuwa kibao kwa wwale tulio ingia 2001.
nakumbuka zilikuwa hazijakamilika... nilikabidiwa funguo na godoro kwa vitanda havikuwapo...na intake yetu ilikuwa first year tupu....ilikwa balaaa bluuuu...full exile...full kupombeka...full fujo...na mwaka huo madent kibao walikula disco...mkeshahoi nikaendelea peta hadi kumaliza!!Bros and sists,
Hope mko poa kbs,
Naomba leo tujikumbushe siku za mwanzo vyuoni hasa HOSTEL, mimi nilijiunga na chuo cha UDSM nikitokea mmamndenyi na ucha Mungu wangu na kupangwa pale MABIBO Hostel Block D gorofa ya 2. Nilifurahi sana kujiunga na masomo ya Elimu ya juu na kubahatika kukutana na cream ya nchi nzima, nilikuwa na shauku kubwa ya kujua roommates wangu na kutenegeneza marafiki wapya.
Hali haikuwa kama nilivyotarajia hasa kwenye chumba changu, nilipangwa na watoto wa mujini waliokuwa wanazijua starehe na anasa za dunia. Mimi nilikuwa na poketi money yangu elfu kumi navaa soksi naingiza ndani nafunga raba bendi juu ili isiibwe kwani boom lilikuwa halijatoka na hata Bank a/c nilikuwa sina. Wenzetu walikuwa wanafweza hadi kukodi tax kwenda main campus. Nilipangwa kitanda cha juu kwa vile vya chini vilikuwa vimewahiwa tayari. Nili report siku ya ijumaa nikiwa na uchovu wa kutoka milimani kwetu nikawahi kulala. Ilipofika saa 7 nilisikia miguno kwa chini nikahisi mwenzangu mgonjwa, ila iliambatana na vicheko kucheki vizuri mwenzangu alikuwa ana jimama likubwa liko juu yake(........)
Ikawa ndio mchezo kila siku sasa mimi nilikuwa hata gal friend sina. Nikirudi mchana rum kupunzika nakuta mwingine amerudi na mwanamke na wamenifungia nje tena/exile. Nikavumilia kama mwezi nikashindwa nikakusanya kilicho changu nikaenda kulala chini kwa washikaji main campus at least huko nilipumua sito sahau mabibo hostel .......
Ni mimi tu au na nyie mlinyanyaswa au kunyanyasa wenzenu?
yule mdada alipata shuruba lakini alikuwa sugu...... block A walikuwa wanamwandika kwa kila aina ya tabia alokuwa nayo!!Kitimoto namkumbuka sana huyu alikuwa anasoma sheria, alikuwa anatoa utamu kwa garama nafuu na walikuwa wanasema ni gridi ya umeme wa taifa.....ila juzi kati nilimwona town ana dunda ila kazeeka kidogo. Alikuwa mbabe anapiga wanaume
RED: Akifaulishwa rum tu.... anapigwa mtungo...akitoka asubuhi akijifanya domodomo...walinzi wanapewa buku...anabebwa mzobe mzobe hadi nje...Si afadhali uishie kupata gentleman.....unaweza ukapata na ngoma kabisa......sitasahau kijana mmoja aliyebebwa kwa mkumbo na room mates zake mabibo wakaenda kuchukua malaya kipindi hicho iliyokuwa "Kili times".
Kwakuwa alikuwa amelewa, aligonga mzigo kavukavu, asubuhi kuamka alikuta amelala na mwanamke ambaye akikuvulia nguo unaona ana dalili zote za ngoma, mashine imeliwa na fangasi kufa mtu...jamaa alikuwa ana mawazo kila siku, bahati mbaya sijawahi kuopnana naye tena tangu 2005, sijui aliishia wapi.
By the way nimependa hilo neno mndenyi............Bila shaka utakuwa ushakata tiketi ya kwenda kwenu kutambika.......Hamchelewi nyie.
Red: niliweka sharti rum..anaetaka kunpiga EXILE sharti aweke buku ya bia(miaka hiyo bia ilikuwa mia nne tu!!)Bros and sists,
Hope mko poa kbs,
Naomba leo tujikumbushe siku za mwanzo vyuoni hasa HOSTEL, mimi nilijiunga na chuo cha UDSM nikitokea mmamndenyi na ucha Mungu wangu na kupangwa pale MABIBO Hostel Block D gorofa ya 2. Nilifurahi sana kujiunga na masomo ya Elimu ya juu na kubahatika kukutana na cream ya nchi nzima, nilikuwa na shauku kubwa ya kujua roommates wangu na kutenegeneza marafiki wapya.
Hali haikuwa kama nilivyotarajia hasa kwenye chumba changu, nilipangwa na watoto wa mujini waliokuwa wanazijua starehe na anasa za dunia. Mimi nilikuwa na poketi money yangu elfu kumi navaa soksi naingiza ndani nafunga raba bendi juu ili isiibwe kwani boom lilikuwa halijatoka na hata Bank a/c nilikuwa sina. Wenzetu walikuwa wanafweza hadi kukodi tax kwenda main campus. Nilipangwa kitanda cha juu kwa vile vya chini vilikuwa vimewahiwa tayari. Nili report siku ya ijumaa nikiwa na uchovu wa kutoka milimani kwetu nikawahi kulala. Ilipofika saa 7 nilisikia miguno kwa chini nikahisi mwenzangu mgonjwa, ila iliambatana na vicheko kucheki vizuri mwenzangu alikuwa ana jimama likubwa liko juu yake(........)
Ikawa ndio mchezo kila siku sasa mimi nilikuwa hata gal friend sina. Nikirudi mchana rum kupunzika nakuta mwingine amerudi na mwanamke na wamenifungia nje tena/exile. Nikavumilia kama mwezi nikashindwa nikakusanya kilicho changu nikaenda kulala chini kwa washikaji main campus at least huko nilipumua sito sahau mabibo hostel .......
Ni mimi tu au na nyie mlinyanyaswa au kunyanyasa wenzenu?
yule mdada alipata shuruba lakini alikuwa sugu...... block A walikuwa wanamwandika kwa kila aina ya tabia alokuwa nayo!!
Mi pia nlimuona Kitimoto majuzi kachoka kiaina. Ila nadhani labda ni maisha na utu uzima tuu.
RED: Akifaulishwa rum tu.... anapigwa mtungo...akitoka asubuhi akijifanya domodomo...walinzi wanapewa buku...anabebwa mzobe mzobe hadi nje...
msinikumbushe mimi unatoka chuo umechoka kufika room exile duuuu mi nilikuwa nachukia saana aisee!
Ebwana eeeeee huwenda siku tukikutana kwenye Party ya JF patakuwa hapatoshi. Kumbe tunajuana bwana.
nakumbuka nilisharudi mchan natoka kipindi... korido zima vyumba vyote 14 occupied...watu wanakulana viburudisho!!Mola asnte niliponyoka mzima na gamba langu!!!
si ajabu tunajuwana kuna jamaa alikuwa ana ni PM tukakutane kumbe ni ndugu yangu na kila siku tunaongea kwenye simu tukaishia kucheka tu. Tarehe 23 jioni nitakuwa na kina Preta tunaosha gari la kusafiria
nakumbuka nilisharudi mchan natoka kipindi... korido zima vyumba vyote 14 occupied...watu wanakulana viburudisho!!Mola asnte niliponyoka mzima na gamba langu!!!