Nelly Gerald
Member
- Nov 21, 2015
- 6
- 0
Dahh naombeni msaada ndugu zanguni,actually mimi ni 5 pcm,kila nikigiss kitu hakiendi mpaka nais kuchanganyikiwa maana kumbuka phy sio mziki mdogo na never hakunaga mkali wake,pure maths. ndo iyo inavuluga kabisa na ukiangalia malengo yangu ni kwamba ntakapoenda likizo nitapiga msuli mnene lakini mambo yamekuwa vice versa, Naombeni saaaaanaaaa ushauri wenu guyz