Ntobhoshogu
Member
- Oct 26, 2015
- 10
- 29
Ukitaka uishi kwa Amani duniani, kaa kimya (jifanye huyaoni)
lkn ukitaka uishi kwa pressure na misukosuko, uwe mkweli na mpinga ukandamizaji
hapo utakuta.
lkn kipi bora?
Aheri uwe mkweli hata kufa ukitetea iliyokweli, maana maisha si kitu, ispokuwa utu.
maana mwisho wa binadamu ni kifo tu, haijalishi umekufa vipi, lkn unatarajia nini baada ya kufa? hilo ndo fumbo ambalo kila mmoja atalifahamu baada yakuhitimisha makazi yake hapa duniani! japo waweza bashili matokeo ya mtihani wako sababu wajua umejibu nini?
PENDANENI PENDANENI, KUMBUKA MUNGU SI MNAFIKI.
lkn ukitaka uishi kwa pressure na misukosuko, uwe mkweli na mpinga ukandamizaji
hapo utakuta. lkn kipi bora?
Aheri uwe mkweli hata kufa ukitetea iliyokweli, maana maisha si kitu, ispokuwa utu.
maana mwisho wa binadamu ni kifo tu, haijalishi umekufa vipi, lkn unatarajia nini baada ya kufa? hilo ndo fumbo ambalo kila mmoja atalifahamu baada yakuhitimisha makazi yake hapa duniani! japo waweza bashili matokeo ya mtihani wako sababu wajua umejibu nini?
PENDANENI PENDANENI, KUMBUKA MUNGU SI MNAFIKI.