maisha bora kwa kila mtanzania mbona ipo jamani wandugu!
Lazima ujue kuna,
Mtanzania na Mwananchi
jiulize wewe upo kundi gani ukijua huwezi kupata shida wala kuuliza maana aliadi kwa Mtanzania na sio kwa Mwananchi!
Sifa za Mtanzania;
ana visa card,kusafiri nje ya nchi wakati wowote ule,anapeleka watoto wake nje ya nchi kusoma
je wewe ni mtanzania na unaweza kuishi hivyo
wewe ni Mwananchi so tulia mtanzania ale!