Maisha baada ya Magogoni

Vipi alienda kutembelewa na mzee white hair
ili ajifunze namna ya ufugaji bora..??
 
duh! kumbe inawezekana, hii itakua msoga nasubiri ya monduli. ila mkuu kuwaomyesha hao jamaa wavaa shuka ng'ombe zako ni hatari kuliko maelezo.
 
Daa..hao NG'OMBE afya yao mbona kama mgogoro , hebu tizama kwa makini
mimi naona kama wana upungufu wa nyama mwilini mwao kama wale ng'ombe
wa kule kongwa.

 
Last edited by a moderator:
Huyu mkwere hii ndo kazi iliyokuwa inamfaa sio kuja kutuharibia nchi yetu.
 
Hilo Banda Si Ngapi?


Sijui kama hawajamfisidi...sio ajabu likawa limecost 30mill but alipoambiwa akaishia kukenua meno,ye kucheka tu ndicho anachokijua...kaacha uozo wa ajabu serikalini saiv ndo mwenzake anakukuruka kuuondoa.
 
Huyu mkwere hii ndo kazi iliyokuwa inamfaa sio kuja kutuharibia nchi yetu.

Huyo alikua Rais na alifanya mambo makubwa na muhimu pia ktk wakati wake,acha kumkebehi
 
Hiyo afya za hao ng'ombe bila shaka wafanyakazi wanamchakachua.
 
Mpendwa jakaya bana! Amekaa kimaigizo maigizo na usanii usanii sana!! Sasa hapo mkwere anamuelekeza Mmasai masuala ya ng"ombe!!! Hahaha!! Alipata 80%, halafu Brother Magufuli akapewa 58%!!! Wa Tz wanahitaji uchunguzi wa Kimaabara kujua vichwa vyao vikoje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…