Khaa!! Hili nalo ni neno. Alikuwa anajipigia promo eti yeye ni mtu wa maamuzi magumu. Kiko wapi sasa bado anajiumauma tu kuamua haamui ila anawayawaya. maji ya kikombe aliita mafuriko:doh:Mimi naona tuhame kwa Edo maana sasa sio tena habari ya mujini
Mkuu,msanii lowasa katika ubora wake.
anataka kutumia fedha kununua uongozi.
Hilo haliwezekani kamwe
Ndugu, usidanganyike kuhusu ujio wa Magufuli. Hatakuwa na jipya. Hata Kikwete aliingia kwa staili hiyo hiyo. Tujiulize WANAOMWEKA Magufuli mbele kwa kumpamba na kumtetea ndio watakaomfunga KUFULI kwa maslahi yao binafsi. Wa kwanza ni Ben Mkapa,. huyu alipigania kwa nguvu zake zote John Pombe apite. Hili siyo bure. Hawa unaosema atawasafisha safisha ndo wanaochanga pesa kwa CCM ili ashinde kwa makubaliano kuwa atalinda ufisadi wao katika biashara zao halali na haramu......
hee kumbe mambo yako hivi nchi hii?yaani wafanyakazi tunakatwa kodi kila mwezi while wengine wanakula pension,mpaka mkolofishane kisiasa ndo mtafute kodi Kwao?kweli ccm mmepoteza uhalali wa kuendelea kuliongoza Taifa hiliFisadi Lowasa hana jipya na akifanya mchezo tuta-freeze hata hizo accounts zake za benki za kifisadi. Tutamtumia TRA wakampigie mahesabu kwenye biashara zake kuona amekwepa kulipa kodi mabilioni mangapi kama hatafilisika ghafla. Wapambe wake mshaurini atulie asitingishe kiberiti ataumia bure.
Lowasa wa kawaida sana bila pesa atapotea kabisa kwenye siasa.
Ili kukuonesha Kuwa hatokuwa na tofauti na wanaccm wengine na sera ya chama chao ya wizi na ufisadi ameba za kwa kumteua samia mwenyekiti mwenza wa katiba ya ccm chini ya usimamizi wa fisadi papa na Mzee wa makengeza,katiba inayolinda na kuendeleza ufisadi.Magufuli can't say no kwa katiba pendekezwaMagufuli na Kikwete ni watu wa kaliba tofauti sana. Magufuli si mtu wa kubeba wahalifu wewe subiri kuanzia hiyo November 2015 utaona.
unaona alivyoanza kwa kuipigia Kura ya ndiyo katiba ya joka la makengeza kwa kumteua samia-ccm ni ile ileMagufuli na Kikwete ni watu wa kaliba tofauti sana. Magufuli si mtu wa kubeba wahalifu wewe subiri kuanzia hiyo November 2015 utaona.
Mkuu,Subiria kitakachotokea mwanza leo.