Maige aomba ridhaa kwa wanaCCM Kata ya Bugarama

Maige aomba ridhaa kwa wanaCCM Kata ya Bugarama

Mkami Lum

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2013
Posts
414
Reaction score
96
Mambo wanajamvi,

Muda huu tupo kwenye kajimkutano kalikokosa watu hapa Bugarama ikiwa ni kama njia ya kuomba ridhaa kwa Mh. Ezekiel Mahige.

Kuonesha hakubaliki ndani na nje ya chama mkutano huu umekosa wadau.

Mkutano unacheleweshwa kutokana na idadi ndogo ya wananchi.

Zipo taarifa kuwa kunawagombea zaidi ya 7 watakaosimama kugombea ndani ya jimbo hili kutoka CCM, nao wapo hapa
 
Mambo wanajamvi,

Muda huu tupo kwenye kajimkutano kalikokosa watu hapa Bugarama ikiwa ni kama njia ya kuomba ridhaa kwa Mh. Ezekiel Mahige.

Kuonesha hakubaliki ndani na nje ya chama mkutano huu umekosa wadau.

Mkutano unacheleweshwa kutokana na idadi ndogo ya wananchi.

Zipo taarifa kuwa kunawagombea zaidi ya 7 watakaosimama kugombea ndani ya jimbo hili kutoka CCM, nao wapo hapa
Ulivyoandika heading ni km Maige anagombea peke yake,lkn kwenye content unasema wapo saba..! Kwa nn mnakurupuka kukimbilia kuandika uzi? Huo ni mkutano wa kampeni wa kawaida wa chama cha mapinduzi na unawahusu wana ccm tu. Km hawajahudhuria ni wao wenyewe na ccm yao.
 
Ulivyoandika heading ni km Maige anagombea peke yake,lkn kwenye content unasema wapo saba..! Kwa nn mnakurupuka kukimbilia kuandika uzi? Huo ni mkutano wa kampeni wa kawaida wa chama cha mapinduzi na unawahusu wana ccm tu. Km hawajahudhuria ni wao wenyewe na ccm yao.

Mimi nilifikiri anagombea Udiwani kwa mujibu wa kichwa cha habari.
 
Tukifukua hansards huyu bwana aliwahi kupendekeza Bungeni kuwa kipindi cha ubunge kiwe na ukomo ambao ni miaka 10 tu. Sasa nashangaa inakuwavipi anapingana na mapendekezo yake kwani tayari kafikisha miaka 10?
 
Ulivyoandika heading ni km Maige anagombea peke yake,lkn kwenye content unasema wapo saba..! Kwa nn mnakurupuka kukimbilia kuandika uzi? Huo ni mkutano wa kampeni wa kawaida wa chama cha mapinduzi na unawahusu wana ccm tu. Km hawajahudhuria ni wao wenyewe na ccm yao.

Nilipoona mara moja nikafikiri sasa Maige anagombea udiwani, kwenye kata wagombea si madiwani na wabunge ni kwenye jimbo, iweke viauri haijaeleweka
 
Back
Top Bottom