[emoji28][emoji28]Morning jf family,
Aisee mahusiano ya hivi visichana ni vichekesho na pasua kichwa kwa sisi watu wazima, yaani Kuna kabinti fulani kanauza pharmacy maeneo ya mjini kati, sasa bwana nilimzimia alivyo black na flat screen fulani halafu mrefu.
Mpe mapema sana hilo jibu muhafakaMorning JF family,
Aisee mahusiano ya hivi visichana ni vichekesho na pasua kichwa kwa sisi watu wazima, yaani Kuna kabinti fulani kanauza pharmacy maeneo ya mjini kati, sasa bwana nilimzimia alivyo black na flat screen fulani halafu mrefu.
Mzee nikawa namtoa lunch anakula kitimoto, japo mimi muislamu lakini nilikuwa namnunulia, acha visenti vidogo dogo nampea.
Sasa ukimuambia masuala ya kunyanyanduana, heti anauliza, "Kwahiyo unachotaka kwangu ni mapenzi tu au?"
Sijamjibu nasubiria anipige mzinga ndio nimpe jibu muhafaka, maana kana njaa sana ya hela.
Aisee hivi visichana havifai kabisa kuwa na mahusiano nao sisi watu wazima, anakulingia wewe wakati huohuo unakuta kuna msela tu mvaa heleni anamla free, au dereva wake bodaboda unakuta anajipigia buree.
Mkuu naona unajitahidi kuonyesha upendo wako kwake ila yeye yuko bize kutaka kukukomoana kwa bahati mbaya hukomoleki, ila utafaidi sana tunda hilo.Morning JF family,
Aisee mahusiano ya hivi visichana ni vichekesho na pasua kichwa kwa sisi watu wazima, yaani Kuna kabinti fulani kanauza pharmacy maeneo ya mjini kati, sasa bwana nilimzimia alivyo black na flat screen fulani halafu mrefu.
Mzee nikawa namtoa lunch anakula kitimoto, japo mimi muislamu lakini nilikuwa namnunulia, acha visenti vidogo dogo nampea.
Sasa ukimuambia masuala ya kunyanyanduana, heti anauliza, "Kwahiyo unachotaka kwangu ni mapenzi tu au?"
Sijamjibu nasubiria anipige mzinga ndio nimpe jibu muhafaka, maana kana njaa sana ya hela.
Aisee hivi visichana havifai kabisa kuwa na mahusiano nao sisi watu wazima, anakulingia wewe wakati huohuo unakuta kuna msela tu mvaa heleni anamla free, au dereva wake bodaboda unakuta anajipigia buree.
kwa sisi watu wazima,
Aisee hivi visichana havifai kabisa kuwa na mahusiano nao sisi watu wazima
HahahahInategemea uliingia na gia gani, kama uliingia na gia ya kuoa subiria ndoa tu