Mahari ya kabila la Wahadzabe

Mahari ya kabila la Wahadzabe

SEGUZO

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2016
Posts
280
Reaction score
198
Kwanza kabila hili ndio kabila dogo zaidi nchini Tanzania idadi yao ni karibu watu elfu moja maisha yao hutegemea uwindaji na mazao ya porini.
c5dc0639ee7f7609ea0c30bf6c4c599a.jpg
3d92b3811f15f46959b4fab41d43e8e7.jpg
bcf7408cf20ac941fe3af4d9b40a7168.jpg
c3350b2bce8e39e05143acb57e59cd24.jpg
f5b4047ecbecc5c2ac9a58d3188cd200.jpg
3211fb64259d16b9e23b2c69b117b71c.jpg

.
Wahadzabe wanaoana kwa mahari ya Nyani wawili na debe la asali ambaye kwa kabila lao ndio vitu vyenye thamani zaidi
1fc607c307335a11a76c696e26c4befd.jpg
3518ad7387434d81c29c0e7265745ae8.jpg
5023264ae434678fb8367cd1aa4dc0c1.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
b6b573464b6713f2b03752652f36d9d9.jpg
2552482b4b2a000bc2eceadade1741a5.jpg
85494fac8234b23256362e21995678a6.jpg
hapa anatolewa Nungu kwenye shimo
a890f3b3d77cca4796f58823a45a760e.jpg
3e48744863176b3274f3aa43c0dd53a1.jpg
 
Hii ni habari au history yao?!sababu umeielezea kama unawai mwendokasi!
 
Moja ya kabila lenye wanaume halisi waliobakia TZ...wakija Dar hawa shughuli, Panya Rd na Kiboko Msheli wote kwishnei..
 
Hivi ili kabila lina mbunge anae wawakilisha?

je lina warembo wazuri?

Hwa inaonekana hawajakumbwa na mtikisiko wa uchumi wa jpm
 
Duuuu hao nyani hakuna mbadala au kubadilisha kuwa fedha? Maana watu mia wakienda huko tunapoteza nyani 200. Tunamaliza mbuga zetu
 
Halafu nasikia mishale yao ina macho....akiutuma kwako lazima ukutafute mahali ulipo na ukusalimie kwa adabu iwe utosini, kifuani, mgongoni popote pale utakapoelekezwa. Waulize wamasai watakwambia habari zao.
 
Duuh hao nyani hawana mbadala labda kubadili labda kwa fedha maana watu mia wakienda kuoa mabinti wa huko tunapoteza nyani mia mbili tunaua kizazi cha nyani sasa
 
Halafu nasikia mishale yao ina macho....akiutuma kwako lazima ukutafute mahali ulipo na ukusalimie kwa adabu iwe utosini, kifuani, mgongoni popote pale utakapoelekezwa. Waulize wamasai watakwambia habari zao.
Naheshimu mawazo yako ila hili naona kama Gahawa.
 
Naheshimu mawazo yako ila hili naona kama Gahawa.
Mkuu uisome mara mbili tatu utaelewa...kwa msaada zaidi namna ya kuelewa nilichokiandika. Watafute Wamasai waliowahi kukumbana na jamii hii katika harakati zao za "kukusanya" ng'ombe wanaodhani ni mali yao!
 
Duuuu hao nyani hakuna mbadala au kubadilisha kuwa fedha? Maana watu mia wakienda huko tunapoteza nyani 200. Tunamaliza mbuga zetu
Hahahaaa. labda ndio maana wanazaana taratiiiiiiibu.
 
Back
Top Bottom