Mahari ni hiari au Lazima!

Mahari ni hiari au Lazima!

tukohapa

Member
Joined
Dec 11, 2017
Posts
18
Reaction score
3
Mpenzi wako ambaye mmeshakua nae kimapenzi baadae akaamua kutumia kigezo cha kukupiga stop kukutana tena mpaka upeleke mahari kwao ni sahihi? Na hamjakutana kwa miezi 7 au 8.
 
sasa ndugu wataka kugegeda for free au ukaoe kwingine
 
mahali ni mila na ni desturi lkn pia ni makubaliano
 
wewe hujakutana nae miezi minane mwenzio kalala naye jana usiku kucha

mapenzi hayahitaji hasira mate
 
Kutoa mahari ni hiari kwa heshima ya familia ya mke wako mtalajiwa pia kwa wazazi wako pia,kuwa wamewalea katika maadili mema
 
ni lazima ila kitu gani unatoa sio lazima kwa maana sio lazima kutoa pesa au mbuzi, mahari ni chochote mlichokubaliana hata ikiwa kijiko ila mkubaliane kuwa ndo mahari.
 
wewe hujakutana nae miezi minane mwenzio kalala naye jana usiku kucha

mapenzi hayahitaji hasira mate
Daah so huyo aliyelala nae si ndo akatoe mahari kwanini mimi
 
Kweli wabongo mnapenda miserereko
Mkuu Bujibuji mtu anaku force kabisa na tabia ya forcing sio kwenye jambo hlo tu kuna siku tupo ndani gagoma kugegedana mpaka tujadili mambo ya ndoa
 
Back
Top Bottom