Sioni tatizo, filimbi ndio mwamuzi. Angepiga filimbi kabla mpira kuingia wavuni hapo ndio ingekuwa nomaLakini je, ni utaratibu?
Sioni tatizo, filimbi ndio mwamuzi. Angepiga filimbi kabla mpira kuingia wavuni hapo ndio ingekuwa noma
Kwaio tuseme chelsea imeendelea au imeaga mashindano??
Arsenal ipo itaiwakilisha Uingereza, muhimu kombe liende Uingereza....
Sio kama nakusumbua kuuliza je ni utaratibu? Inawezekana hata filimbi ashapuliza sema kwenye picha hatuwezi kuisikia.
Haiyumkini filimbi na mkono vilienda simultaneously
Nadhani hiyo picha imepigwa wakati bado yuko katika hatua za ku-point kati, so by the time anamaliza nadhani na mpira ulikuwa nyavuni na kipyenga ndio kikalia. Kungekuwa na kosa limefanyika nadhani ingekuwa ni issue kwenye media mpk sasa, sana sana hapo naona ni hisia tu za mashabiki tusioipenda Chelsea/Mou trying to instigate something outta nothing.
But such these refs do spoil games, crystal palace fans know better and fed up (look the banner)
refa wa jana ni mrusi plus tajir nae mrusi but Mungu aliwaumbua woote!!
Kwaio tuseme chelsea imeendelea au imeaga mashindano??
Arsenal ipo itaiwakilisha Uingereza, muhimu kombe liende Uingereza....