Mahaba ya dhati kwa mahabuba

Mahaba ya dhati kwa mahabuba

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,801
Reaction score
43,177
Mahabuba wangu.... mahabati wake Kasie.... Dadiii..... sauti yako tuu yanikosha na kunilainisha waalaah kila uwapo karibu yangu tabasamu halikauki usoni mwangu.... kwa mwendo huu ndita ntabaki kuziona kwa wamakonde heheheh (mniwie radhi wamakonde ni mfano tuu).

Nikiwa nakusinga basi sauti haiishi kutoka kinywani mwangu nikikuimbia huku natabasamu..... hahahahaa mahaba nibemendee niendelee kupendana na dadii wangu.

......" Yarabi iwe salama...
Salama usalimini. ..
Wasipate ya kusema....
Maadui asilani. .....

Mapenzi yawe ya daima. ...
Yasiingiliwe na mtu....
Waloomba tuachane. ....
Wasiweze kutupata katu....
Nyoyo zao ziwauume....
Kwetu wamepatoka patupu....patupuuu....

Inshallah nitadumu nae....
Hata wende kaburini. .......
..........................................

Oooh nyoyo zao zinaona haayaaa ......haya kama nini......
Kwake sipati karaha.....
Huyu ni wangu.......

Nitadumu nae kwa nguvu za maanani.

Walochongaa ......tunakomaa nao...
Na wachongeee....
Kimpango.....waooo......

Heheheheheee heheeiyaaaa iyanga iyanga...... kuluumpaaa......

Shurti mpenzi wangu kumkatia vipande vya nazi mbata na mihogo mibichi bila kusahau karanga mbichi....
Haina madhara Kasie nipo nimejaa teleee
Lile busu letu lile ndo nakuacha nalo dadiii. ....

Alamba Alamba aaammm aaammm...
Alamba Alamba tena...aaammm aaammm 😉😉😉
 
naona ushavua chupi sio kwa mwandiko huo

Hahahahahahhaaa nshavuliwa mie nshatiwa chomboni nasubiri kuparuriwa ntengenezwe na mapakopako kisha nliwe baada ya kupikwa heheheheh mwandiko umebemendwa huu hakyanani hahahahah si kwa mahaba haya looh
 
Duuu...cio kwa kupagawa huko

Wee acha tuu waswahili walisema raha Jipe mwenyewe... Full kujihudumia bin kuhudumiwa hii inaitwa hakuna kulala hahahaa kidali poooh
 
Kula maisha,bata mchafu halafu ana shombo.

Asante mwaya, na hii ni moja ya tabia ya Kasie. .. kwa raha zake shurti kulishana matunda mekundu madogo madogo (strawberrie) yaliyodumbukizwa kwenye chokoleti na icecream. ..... na aina ya ulishanaji ni ile ya ndege anavyolisha makinda yake..... Mola na atuongezee miaka hakyanani kwa minajili hii sambi sizitaki tena hehehe.
 
Ha.

Mbona kama mambo ya kikubwa vile!

Waaalaaah haya ni mahabat tuu..... mambo ya kikubwa mbona yako kwa Salome heheheh anayeambiwa asonge ugali mara ainame ashike magoti mara kasimamiwa nyuma kama ngongoti.
Aliniacha hoi jamaa mmoja aliyeambiwa na mpenzi wake amuimbie wimbo wa Salome, bidada akitegemea kuimbiwa wimbo wa Salome alioimba Dai, hee!!! Jamaa si akaanza kuimba wimbo wa Salome sijui aliuimba nani ni wimbo wa zamaniiii siku hizi hata sikusikii tena, unaimba ..."Salome juu ya kaburi lako nalia kilio nakisikia. .. ............. kosa nilokufanyia. ....."
Bidada akabaki heeeh! !!
 
na hujalala bado....

Haahahahahahha hapa nilipo bado mapema muda wa kulala haujafika.

Nna wasiwasi hata ukifika muda wa kulala itakuwa hakuna kulala heheheheh

"......ncho cha ruwa, nkiki. ..!!???""
 
Si ndio hapo. Sometimes huwa nakuwaga tu slow kimandazi, so inabidi unanistua hivi.

Saying that I will be alarming you every now and then......

Is the snorkeling thing still there my lens glasses are on all the time....

This time I don't wanna miss a thing. ...
How is Silas by the way 😉😉😉
 
Saying that I will be alarming you every now and then......

Is the snorkeling thing still there my lens glasses are on all the time....

This time I don't wanna miss a thing. ...
How is Silas by the way 😉😉😉

That's the spirit.

We still on. Word is bond.

The only thing you might miss, is that red season that comes every month. If you know whata mean.

Silas...still don't know him.
 
That's the spirit.

We still on. Word is bond.

The only thing you might miss, is that red season that comes every month. If you know whata mean.

Silas...still don't know him.

Hahahahahahahahahahaaaa Hehehehehehehehehehehehehehehehehee hahahahahhahahah

You know what...... *** youu.....

Niko safarini kwenye chombo cha usafiri nimejikuta natoa tabasamu kubwaa hadi uso nimeuhisi mdogo hahahahah

You you..... The thing must be done smoothly and........ hahahahahhahahah yaani nazidi kucheka tuu hehehehehehehhee

I never stopped loving you. .... I do.......

You really gonna do it.... harder..... Hahahahahahahahahahaaaa
*** yaah Paulo, I can't you hahahahahahahahhaaaa

You have to replace my broken ribs
 
Back
Top Bottom