Magufuli zi zaidi ya obama

Magufuli zi zaidi ya obama

Robethn

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2015
Posts
2,103
Reaction score
354
Mgombea wa urais kupitia CCM Dr Magufuli amezidi kupata uungwaji wa makundi tofautitofauti kila kona ya Tanzania.Ushawishi wake umelinganishwa na rais wa Marekan Barack Obama.Kila kona ya nchi hii Magufuli kazidi kuimarika na kupata ushawishi mkubwa kiasi cha kuwaacha mbali wapinzani wake waliobakia na hoja ya kulalamika.
 
Kama wewe mwenyewe umechoka hata 'title' ya 'thread' haieleweki, utatushawishi vipi kuiamini habari yako? Haya mambo kama mnaelekezwa mchambue kwanza mnayoambiwa kuleta, sio mnakuwa kama roboti!
 
Magufuli ushawishi alionao huwezi kulinganisha na mgombea yeyote, yupo mbali sana, watanzania wanalitambua hilo hata kama wapinzani wake watazidi kulalamika.
 
Magufuli rekodi yake inafahamika hata kwa watoto wa shule ya msingi.
 
Magufuli ushawishi alionao huwezi kulinganisha na mgombea yeyote, yupo mbali sana, watanzania wanalitambua hilo hata kama wapinzani wake watazidi kulalamika.
Tafuta mtu wa kumlinganisha naye, siyo Obama.
 
Kweli aisee!!! Magufuli anapata wafuasi wapya wengi kwa kasi sana!!
 
Ni sawa kulinganisha jiwe na dhahabu halafu uanze kusema jiwe zaidi ya dhahabu.
 
Leo ukimuuliza hata mtoto mdogo nani katengeneza barabara atakwambia magufuri
 
Kichwa cha habari tu kuandika matatizo ndo tuamini evaluation yako ya kipumbavu. CCM mmechoka sana kama hawa ndo watu wenu wa propaganda na ushawishi basi mshashindwa tayari maana inaonyesha ni kiasi gani mlivyo tupu kichwani. Hatuwezi kuwapa tena hii nchi wajinga waendelee kutuuzia rasilimali mali zetu, period!!!
 
Kama wewe mwenyewe umechoka hata 'title' ya 'thread' haieleweki, utatushawishi vipi kuiamini habari yako? Haya mambo kama mnaelekezwa mchambue kwanza mnayoambiwa kuleta, sio mnakuwa kama roboti!

thread imeeleweka, wewe tulia usubiri confirmation hapo 25/10, Magufuli locks.
 
Back
Top Bottom