Hawani wagombea wawili wanaolinganishwa sana katika kila corner ya tanzania magufuli amezidi kushika kasi anaonekana kumzidi mwezi katika kila sifa ambazo watu wamekuwa wakiziweka mgombea huyo kupiitia ccm amekuwa akimzid mpinzani wake katika kuendelea Kuitangaza vipaumbele vyake vya 2015-2020
Hawani wagombea wawili wanaolinganishwa sana katika kila corner ya tanzania magufuli amezidi kushika kasi anaonekana kumzidi mwezi katika kila sifa ambazo watu wamekuwa wakiziweka mgombea huyo kupiitia ccm amekuwa akimzid mpinzani wake katika kuendelea Kuitangaza vipaumbele vyake vya 2015-2020
Hawani wagombea wawili wanaolinganishwa sana katika kila corner ya tanzania magufuli amezidi kushika kasi anaonekana kumzidi mwezi katika kila sifa ambazo watu wamekuwa wakiziweka mgombea huyo kupiitia ccm amekuwa akimzid mpinzani wake katika kuendelea Kuitangaza vipaumbele vyake vya 2015-2020[/QUOTE LOWASSA CHAGUO LA WENGI
Kwa vipaumbele gani? kila kitu anakishangaa...... yani yuko serikalini kwa miaka 20 then kila kitu anashangaa.... hospitali hakuna dawa.... no viwanda yani kila kitu anashangaa
Mimi nafikiri mlete mada ni mada au shabiki wa ccm,maana ccm ni ileile na viongozi wake ni walewale hakuna jipya wanachoweza kufanya,wananchi wa sasa wamechoshwa na maneno,tunataka rais mchapa kazi wakati huu siyo wa maneno zaidi ni vitendo, maneno tumewachia taarabu na bongo flavour za kina diamondi,hapa hatuchagui bingwa wa kuongea,halafu utendaji ni zero,mabadiliko ni muhimu na hana jinsi ni lazima yaje,kwa njia yoyote Ile, kuanzia kifikra,mpaka kiimani
Hawa wote wamekaa ccm kipindi kirefu so ukipima mzani sawa uwezi mutengansha ENL na ccm zaid tuwasubili wapiga kura.
Hawa wote wamekaa ccm kipindi kirefu so ukipima mzani sawa uwezi mutengansha ENL na ccm zaid tuwasubili wapiga kura.
Hawa ni wagombea wawili wanaolinganishwa sana katika kila corner ya Tanzania, Magufuli amezidi kushika kasi anaonekana kumzidi mwenzake katika kila sifa ambazo watu wamekuwa wakiziweka, mgombea huyo kupiitia CCM amekuwa akimzidi mpinzani wake katika kuendelea Kuitangaza vipaumbele vyake vya 2015-2020.
hawa ni wagombea wawili wanaolinganishwa sana katika kila corner ya tanzania, magufuli amezidi kushika kasi anaonekana kumzidi mwenzake katika kila sifa ambazo watu wamekuwa wakiziweka, mgombea huyo kupiitia ccm amekuwa akimzidi mpinzani wake katika kuendelea kuitangaza vipaumbele vyake vya 2015-2020.