Magufuli na Wanakigamboni

Magufuli na Wanakigamboni

Mimiwikolo

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2015
Posts
218
Reaction score
19
Haya sasa wanakigamboni.., Magufuli alowambia kama huna nauli ya pantoni ogelea, anafaa kuwa rais wenu au hafai?!!
Coz nahisi akiwa rais mtaogelea mpaka mkome
 

Attachments

  • Magufuli1.png
    Magufuli1.png
    42.6 KB · Views: 245
uchonganishi sipendi wewe unahoja kupiga mbizi sio hoja.Hoja ni mbinu chakavu za ccm katika kutatua matatizo ya watanzania! Acha kujenga chuki.
 
Kama Magufuli ana washauri wazuri wa siasa, asiende Kigamboni kufanya kampeni, instead atume mtu mwingine kumfanyie kampeni.
 
Tatizo watanzania tunapenda kupewa lugha za uongo ambazo kwa sasa hatuzitaki, alichokisema mh maghufuli i sahihi, na ataendelea kusimamia ukweli. Mtampenda tu
 
Wana Kigamboni msimpe Magufuli kura aliwakashifu sana.
 
Back
Top Bottom