Hivi mnafikiri Lowassa na Magufuli in maadui? Kwani siasa ni uadui? Msidanganywe na maneno ya jukwaani....nyi mtabaki kutoana ngeu wakati wenzenu wakitoka majukwaani wanapigiana simu na maisha yanaendelea kama kawaida....
nimeipenda sana hii dada nyamchele, ni kweli kabisa unalosema, nadhani utakuwa unatokea mara wewe ,manake na wao kwa majina kama yako, nyambofu, nyasato, sasa leo naona na nyamchele
Tutaaminije kuwa hyo gar ni ya magufuli
Nyamboga nyamweko nyamumwi.... akajasembamba inanikumbusha hadithi za Debora Mwenda...