Wewe ndio utakuwa kundi la aliowasema Mkapa, yaan mwizi na fisadi Lowassa ndio akukomboe?ndoto za mchana.Lowassa anaenda akiwa na maslahi yake na mafisadi wenzake ambao wameishatumia pesa nyingi sana kuutafuta urais huo,akifika huko ni kujilipa tu kama alivyojilipa Richmond.