Magufuli: Mawaziri vumilieni machungu

Kimla

JF-Expert Member
Jun 8, 2008
3,788
6,570
Machungu hayo kwa mujibu wa Rais Magufuli, yataanza kuonekana wakati wa utekelezaji wa Bajeti ya Serikali ya kwanza kwa Awamu ya Tano, ambayo fedha za maendeleo zimeongezeka kutoka asilimia 27 za bajeti iliyopita, hadi kufikia asilimia 40.

Rais Magufuli alisema katika bajeti hiyo inayotarajiwa kupelekwa katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, litakaloanza vikao vyake Dodoma wiki ijayo, machungu hayo yataanza kuonekana kwani fedha za chai, semina na safari, zimekatwa na kujaziwa katika fedha za maendeleo.

Wananchi wamechoka kutuona sisi viongozi tunafaidi matunda ya Uhuru wa nchi tangu Uhuru na wao wakiwa wasindikizaji halafu wao tunawaomba kura na wakishatupigia tunawasahau,” alisema na kuongeza kuwa anataka wananchi watoke kwenye machungu na sasa wawe ‘watamu’ kwa maendeleo.

Magufuli alisema lazima viongozi wabadilike na kurudi kwa wananchi wa maisha ya chini na hiyo itakuwa sadaka kwa kuwapa madaraka kwani wananchi wanyonge wameteseka siku nyingi.
Dk Magufuli alisema wananchi wote bila kujali vyama vya siasa, wanalilia maendeleo na maendeleo hayana chama, kwani wananchi wamechoka ‘machama chama’, wanataka kwenda mbele, hivyo hakuna sababu ya kubaki nyuma na kubishana kwa mambo ya chama chama, wakati uchaguzi umepita na aliyeshinda ni yeye ambaye ni CCM.

JE VIONGOZI WA CCM NA UKAWA HASA WALIOEA MADARAKA KAMA NJIA YA KUPATA ULAJI WATAFURAHIA HII KITU??NAAMINI HAWAFURAHI NDO MAANA KILA SIKU NIKUMULAZIMISHA AENDE KUTEMBEA ULAYA HATA KAMA HANA AGENDA
 
Naona july kama inachelewa.!! E="Kimla, post: 15917436, member: 10925"]Machungu hayo kwa mujibu wa Rais Magufuli, yataanza kuonekana wakati wa utekelezaji wa Bajeti ya Serikali ya kwanza kwa Awamu ya Tano, ambayo fedha za maendeleo zimeongezeka kutoka asilimia 27 za bajeti iliyopita, hadi kufikia asilimia 40.

Rais Magufuli alisema katika bajeti hiyo inayotarajiwa kupelekwa katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, litakaloanza vikao vyake Dodoma wiki ijayo, machungu hayo yataanza kuonekana kwani fedha za chai, semina na safari, zimekatwa na kujaziwa katika fedha za maendeleo.

Wananchi wamechoka kutuona sisi viongozi tunafaidi matunda ya Uhuru wa nchi tangu Uhuru na wao wakiwa wasindikizaji halafu wao tunawaomba kura na wakishatupigia tunawasahau,” alisema na kuongeza kuwa anataka wananchi watoke kwenye machungu na sasa wawe ‘watamu’ kwa maendeleo.

Magufuli alisema lazima viongozi wabadilike na kurudi kwa wananchi wa maisha ya chini na hiyo itakuwa sadaka kwa kuwapa madaraka kwani wananchi wanyonge wameteseka siku nyingi.
Dk Magufuli alisema wananchi wote bila kujali vyama vya siasa, wanalilia maendeleo na maendeleo hayana chama, kwani wananchi wamechoka ‘machama chama’, wanataka kwenda mbele, hivyo hakuna sababu ya kubaki nyuma na kubishana kwa mambo ya chama chama, wakati uchaguzi umepita na aliyeshinda ni yeye ambaye ni CCM.

JE VIONGOZI WA CCM NA UKAWA HASA WALIOEA MADARAKA KAMA NJIA YA KUPATA ULAJI WATAFURAHIA HII KITU??NAAMINI HAWAFURAHI NDO MAANA KILA SIKU NIKUMULAZIMISHA AENDE KUTEMBEA ULAYA HATA KAMA HANA AGENDA[/QUOTE]
Naona
 
Yop!! Safi sana,ila sasa hiyo bajeti ikishatoka bungeni si Inarudi tena kwenye hayo hayo mawizara?? Ni kama vile unamnyima Mtoto asiende dukani kununua sukari kwa kuhofia kuwa atailamba! Unaenda kununua mwenyewe Halafu unamkabidhi Mtoto huyohuyo aende nayo jikoni akapike Chai!! Una uhakika kuwa hatailambia hukohuko jikoni?
 
Uongozi ni wito ingawa siku za karibuni iligeuka kuwa ni dili.
Mkome sasa walimu rudini vyuoni na wafanyabiashara rudini kwenye kazi zenu uongozi/siasa waachiwe waliojitoa kutumikia wananchi.Zamu yao kutesa
 
Yop!! Safi sana,ila sasa hiyo bajeti ikishatoka bungeni si Inarudi tena kwenye hayo hayo mawizara?? Ni kama vile unamnyima Mtoto asiende dukani kununua sukari kwa kuhofia kuwa atailamba! Unaenda kununua mwenyewe Halafu unamkabidhi Mtoto huyohuyo aende nayo jikoni akapike Chai!! Una uhakika kuwa hatailambia hukohuko jikoni?
Ila huwezi ulachukua hela za devwlopment kupeleka kwenye chai. Ni kosa.
 
Kazi kwako!! Sisi tunatekeleza sera ya ukawa! Utajibeba mwenyewe na sera ya chama tawala ambayo haitekelezeki!!!....ila ya Ukawa ndio ina mashiko na inatekelezeka!!....amina! Sikiliza nyimbo za. Roma Mkatoliki
 
yote kheri...........maadam nchi inajengwa MUNGU ambariki,.
ila awapangue2 hao mawazr aanze upya,.maana woote ni majipu ni mizigo isiyobebeka,.
 
Huyu nae sasa apunguze kuongea maana anakuwa kama mwenyekiti wa chama chao, ni mwaka upi bajeti ilipangwa na kila wizara ikapata fedha iliyopitishwa? Hizo ni namba tu lakini hakuna uhalisia wowote unao tendeka.
 
Back
Top Bottom