alvinroley
Member
- Sep 30, 2016
- 71
- 251
Baada ya pilikapilika za kuwahudumia watanzania hatimaye Rais Dr John Magufuli yupo mapumzikoni huko Chato 'anakula upepo' kidogo.
Ukumbuke kujiombea naweweNampenda sana rais wangu, kila siku huwa namuombea kwa Mungu ampe maisha marefu
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Atakuwa mjukuu we angalia pumi hizo!mleta taarifa, huyu ni Mtoto au mjukuu wake?
eeee mbuna wauliza ujinga,,, toka aingie serikalin wafikiri alikua halipwiiiHivi hiyo nyumba alijenga kwa pesa za mshahara wake?
Mshahara wake ulikuwa shilingi ngapi na matumizi yake kwa mshahara huo yalikuwaje?eeee mbuna wauliza ujinga,,, toka aingie serikalin wafikiri alikua halipwiii
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Shutanonsense...View attachment 540563
Kubwebwa na Rais wa nchi ni mojawapo ya Heshima kubwa sana hata kama Rais huyo ni ndugu yako!
mshahara wa waziri kwa mwezi X miaka 15(10% if any) + mshahara wa raisi = jibu likufaalo!!..Mshahara wake ulikuwa shilingi ngapi na matumizi yake kwa mshahara huo yalikuwaje?