Mr Scofied
New Member
- Aug 21, 2016
- 3
- 0
Habari wana JF wenzangu,kiukweli raisi magufuli inatakiwa aliamkie jambo hili kabla ajachelewa ishu ni ndogo sana kumalizana na vyama vya upinzani na tofauti zao kabla damu za watu hazijamwagika pasipo kuwa na msingi....
Sisi wote ni watanzania tuweke uvyama pembeni kwa maana hakuna anaependa kuona damu ikimwagika kisa vyama cha muhimu ni amani hivyo tunapaswa kuungana CHADEMA,CCM,CUF,NCCR, n.k ili kuilinda amani ya nchi yetu kwani sote ni watanzania tuache uchochezi...
Sisi wote ni watanzania tuweke uvyama pembeni kwa maana hakuna anaependa kuona damu ikimwagika kisa vyama cha muhimu ni amani hivyo tunapaswa kuungana CHADEMA,CCM,CUF,NCCR, n.k ili kuilinda amani ya nchi yetu kwani sote ni watanzania tuache uchochezi...