ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,033
- 3,916
Naona Clipu inasamba mitadaoni ya JK na JPM wakielekea Afrika kusini kwa kutumia ndege ya ATCL
Hili limenifanya nijiulize, Je, Magufuli kaamua kumpandisha Kikwete ndege Mpya? Je Magufuli amelipia hio safari maana hio ni ndege ya biashara lazima ilipiwe au ndo ameanza kupanda bure bure?
Je hio safari lipangwa kutumia ndege hio au ameamua tu kuwaambia ATCL leteni ndege moja nataka nimpandishe Mkwere tukazunguke!! Anifundishe ya ngambo
Natafakari tu maaa huwa sielewei kama tuapiga Reverse au tuko Drive
Hili limenifanya nijiulize, Je, Magufuli kaamua kumpandisha Kikwete ndege Mpya? Je Magufuli amelipia hio safari maana hio ni ndege ya biashara lazima ilipiwe au ndo ameanza kupanda bure bure?
Je hio safari lipangwa kutumia ndege hio au ameamua tu kuwaambia ATCL leteni ndege moja nataka nimpandishe Mkwere tukazunguke!! Anifundishe ya ngambo
Natafakari tu maaa huwa sielewei kama tuapiga Reverse au tuko Drive