Prince naithy
Member
- Nov 18, 2015
- 57
- 3
Ukiangalia katika chama cha CCM viongoz wake ukiangalia Katibu KINANA mwenyekiti KIKWETE JE magufuli atafanyakaz kwa uhuru kwasababu akienda kinyume na Chama atauliza ATAFANYA KAZI KWA UHURU!!!
Atakuwa M.kiti wa chama baadae kwasasa ni mwanachama wa kawaida kama ilivyo kwa Mh. Lowasa
kama ni hivyo awez kutenda kaz kikamilifu.MFANO AKIENDA KINYUME NA CHAMA ITAKUAJE
Magufuli ni Raisi hayo ua chama chake sioni kama atashindwa kuwadhibiti wakati wanajua kikatiba soon atakabidhiwa kiti.
asipopewa kiti je!
Ukiangalia katika chama cha CCM viongoz wake ukiangalia Katibu KINANA mwenyekiti KIKWETE JE magufuli atafanyakaz kwa uhuru kwasababu akienda kinyume na Chama atauliza ATAFANYA KAZI KWA UHURU!!!
Ukiangalia katika chama cha CCM viongoz wake ukiangalia Katibu KINANA mwenyekiti KIKWETE JE magufuli atafanyakaz kwa uhuru kwasababu akienda kinyume na Chama atauliza ATAFANYA KAZI KWA UHURU!!!
Ukawa ni mazombi,malofa na wapumbavuuu
Magufuli ni Raisi hayo ua chama chake sioni kama atashindwa kuwadhibiti wakati wanajua kikatiba soon atakabidhiwa kiti.