Magonjwa yanayosababisha kutoa usaha, kuumwa na kuwashwa sehemu za siri!

Daniel Mbega

JF-Expert Member
Mar 20, 2013
338
180
chlamydia.jpg

KUNA magonjwa mengi yanayosababisha mtu kukojoa udenda (usaha), uume kuuma au kuwasha wakati wa kukojoa.

Magonjwa yanayosababisha hali hiyo kwa sana ni pamoja na klamidia (chlamydia), kisonono (gonorrhea), trichomoniasis na magonjwa mengine yanayoathiri njia ya mkojo (nongonococcal urethritis) ambayo FikraPevu inayachambua.

Klamidia (Chlamydia)

Klamidia (Chlamydia) ni moja ya magonjwa ya zinaa. Ugonjwa huu unasababishwa ...

Kwa habari zaidi, soma hapa => Magonjwa yanayosababisha kutoa usaha, kuumwa na kuwashwa sehemu za siri! | Fikra Pevu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom