Wenyeji wenzangu, nilikuwa na maswali machache kuhusu magonjwa haya ya zinaa
1) Kuna tofauti gani kati ya gonorea, kaswende, na kisonono.
2) Kaswende na kisonono yanaitwaje kwa kiingereza?
3) Human Papillomavirus (HPV) infection inaitwaje kwa kiswahili?
Mujaaliwe