Mi nimejifunza kuwa Madaktari wa Tanzania hawaongei chochote kuhusu magonjwa kama vile;
1. Herpes simplex virus
2. Human papillomavirus infection (hpv)
Magonjwa haya kwa kiasi kikubwa sana yamewaadhiri Watanzania wengi na hasa watoto kupitia kwa wazazi na wazazi tokea kwa watoto mfano watoto kuambukizana mashuleni kama vile kushirikiana vitu kama kugawiana peremende nk kisha wakifika nyumbani uwaambukiza watoto wenzao na wazazi, ndugu, jamaa wanaoishi nao kwa karibu.
Je kwanini msianze program maalum ya kuelimisha watu waziwazi maana hili janga ni kubwa sana na huu uhonjwa ni rahisi mno kusambaa au kuambukizana pengine kuliko magonjwa yote? Ebu fualitia uone watu wana hali mbaya na sababu ya kutojua wanafikiri wamelogwa!
Watu wanateketea sana sana kwa kukosa maarifa toka kwa wataalamu. Si kila mgonjwa hapa anapata magonjwa haya kupitia ngono!
1. Herpes simplex virus
2. Human papillomavirus infection (hpv)
Magonjwa haya kwa kiasi kikubwa sana yamewaadhiri Watanzania wengi na hasa watoto kupitia kwa wazazi na wazazi tokea kwa watoto mfano watoto kuambukizana mashuleni kama vile kushirikiana vitu kama kugawiana peremende nk kisha wakifika nyumbani uwaambukiza watoto wenzao na wazazi, ndugu, jamaa wanaoishi nao kwa karibu.
Je kwanini msianze program maalum ya kuelimisha watu waziwazi maana hili janga ni kubwa sana na huu uhonjwa ni rahisi mno kusambaa au kuambukizana pengine kuliko magonjwa yote? Ebu fualitia uone watu wana hali mbaya na sababu ya kutojua wanafikiri wamelogwa!
Watu wanateketea sana sana kwa kukosa maarifa toka kwa wataalamu. Si kila mgonjwa hapa anapata magonjwa haya kupitia ngono!

