Magereza Updates

Mbishi 4 real

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
640
Reaction score
655
Habari zenu wadau,

Kama kuna yeyote mwenye taarifa ya ajira za magereza lini zitatangazwa tunaomba atujuze mana tulisikia kwamba mwezi huu watatoa lakini mpaka sasa kimya na mwezi ndio huoooo unayoyoma.

Karibuni
 
Watu wanaendelea na usaili. Degree holders tayari now wanawafanyia wa form four i think
 
Kuwa na subra kaka...mwaka jana walitoa matangazo yao mwez wa5 labda na mwezi huu inaweza kuwa vivyo hivyo mzee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…