mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
wanaJF,
Kila mara maeneo ya Boko majira ya saa mbili hadi saa tatu, nakutana na bodaboda kama kumi hivi zikikimbia mwendo mbaya wa hatari, zikiwa zimebeba mafuta, batery , sukari, mchele ulioisha muda wake, najiuliza haya magunia, viroba vya sukari hivi wenye corona hawawezi kugusa hii kitu na bodaboda wakasambaza kuanzia mwaloni hadi uswahilini.
Hivi polisi wamejipangaje kukabili bodaboda hawa? katika kitu polisi wamefeli ni kuwaondoa hawa bodaboda wakati wanajua vyanzo vyao kuwa ni BunjuB na Bunju A kuna vijana wataalamu wa kuvusha magendo.
Pia polisi imefeli kukagu mabasi yanayotoka mbweni kwani kuna baadhi huwa bidhaa inafichwa kwenye siti za nyuma.
Kila mara maeneo ya Boko majira ya saa mbili hadi saa tatu, nakutana na bodaboda kama kumi hivi zikikimbia mwendo mbaya wa hatari, zikiwa zimebeba mafuta, batery , sukari, mchele ulioisha muda wake, najiuliza haya magunia, viroba vya sukari hivi wenye corona hawawezi kugusa hii kitu na bodaboda wakasambaza kuanzia mwaloni hadi uswahilini.
Hivi polisi wamejipangaje kukabili bodaboda hawa? katika kitu polisi wamefeli ni kuwaondoa hawa bodaboda wakati wanajua vyanzo vyao kuwa ni BunjuB na Bunju A kuna vijana wataalamu wa kuvusha magendo.
Pia polisi imefeli kukagu mabasi yanayotoka mbweni kwani kuna baadhi huwa bidhaa inafichwa kwenye siti za nyuma.