R Rogersthadeo New Member Dec 5, 2011 2 1 Sep 6, 2018 #1 Samahana wadau wenye ujuzi na magari. Napenda kuuliza kwanini gari kama Brevis' subaru na Altezza ikiwa kwa mtu inauzwa cheap price compared to IST
Samahana wadau wenye ujuzi na magari. Napenda kuuliza kwanini gari kama Brevis' subaru na Altezza ikiwa kwa mtu inauzwa cheap price compared to IST