kwa udadisi tu, hilo jengo ni la central police station! Inawezekana hiyo gari ikawa ina ishu! Namaanisha labda ni mali ya serikali imetuhumiwa ktk uhalifu au ni ya mtu binafsi imetuhumiwa kuhusika ktk tukio la kihalifu!
mleta mada huna ustaarabu wowote. hiyo picha umeipiga jengo la police central. wewe ulikuja uhamiaji maana hilo gari lipo karibia na wanapotolea paspot uhamiaji. kihererhere chako tuuuu, unajua ina maana gani???? msiingilie vitu visivyowahusu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.